Elections 2010 Slaa: Mashushushu watawanywa mikoani kuhakikisha ushindi kwa CCM

Elections 2010 Slaa: Mashushushu watawanywa mikoani kuhakikisha ushindi kwa CCM

Naota kwamba nchi inaingia kwenye chaos kwa sababu ya kikwete kuhitaji kula.
Lolote na liwe Kikwete anaondoka kwa nguvu ya umma.

Na natoa angalizo kwa hawa wanaojifanya ni usalama wa wezi, kwamba nchi hii ni yetu wote. Tukiamua wananchi kuwa hatumtaki kikwete nawahakikishia wao hao usalama wa ccm kuwa hawataweza hata kwa dakika moja kumrudisha kwenye ikulu.

Sana sana tutafikia kuuana bure na hata wao watakufa wala wasidhani watapona. Wao na jamaa zao na familia zao watakuwa responsible kwa damu ya watanzania. Wawe macho kwa hili na wala tusitishane kwa nchi tuliyopewa wote na Mungu na wala si mali yao pekee katu.

Mungu ibariki Tanzania.
Chagua Dr Slaa Chagua Maendeleo kwa nchi hii.
 
Hivi hawa usalama wa taifa hawana huruma na nchi hi na watu wake wao ni wasomi waelewa wanaona matatizo ya nchi hii bado wanafitini upinzani na kuiba kura zao badala ya kuiba za CCM na kupeleka upinzani
 
Naomba tu dk. Slaa uwaambie na kuwahakikishia hawa uwt kuwa vibarua vyao vitaendelea kuwepo hata jakaya akiondoka
 
Hata wafanyeje watashindwa tu. Slaa anakubalika sana tuu huyu Mkwere lazima aachie ngazi
 
Hivi wameajiriwa na CCM? Ndo maana mambo mengi hayaendi vizuri. Unaitwa Usalama wa taifa halafu wanafanya kazi ya CCM, vinaendana kweli. Nchi imekwisha

Jina sahihi ni usalama wa CCM.
 
hakuna tumbo joto, wao ndiyo matumbo joto, sie twasonga mbele
Good answer atakeyeshikwa na tumbo laku...... anawapisha wengine wanasonga mbele ndiyo spirit ya jeshi ilivyo.
 
Nimepata taarifa kuwa Dk Slaa amezungumza na waandishi wa habari leo na kusema ana ushahidi kuwa watumishi wa Usalama wa Taifa wametawanywa mikoa mbalimbali ili kuidhibiti Chadema na kuhakikisha CCM inashinda uchaguzi ujao. Wana JF waliohudhuria mkutano huo watumwagie vitu zaidi.

Katika mkutano huo Dr anasema na wao wana Intelligency yao. Hapa naona kuna TISS CHADEMA na TISS CCM, otherwise ni vigumu mno kwa jambo nje ya hapa kufanyika.

Na ndipo namkumbuka marehemu Jenerali IK na jamaa zetu wengine.

Wazalendo mlioko TISS, jitahidini kutumia mfumo wa MOSSAD japo si mfano mzuri sana lakini mtaweza kuitetea nchi yenu dhidi ya mafisadi kama JK bila kuwa nje ya protocals.
'by the way of deception thou shalt do war'

Swali kwa Kikwete: Hivi TISS wamekuwa wapiga kura wako. Unawazuia mafisadi wenzako kuingia madarakani ili ujisafishie njia wewe peke yako. Sasa hiyo sheria uliyowashikisha TAKUKURU ni kwa ajili ya kuadabisha wapinzani wako ndani ya CCM chama cha mafisadi?
maana hili unalofanya na TISS sasa ni nini? Hii nayo ni rushwa we dogo.

JK achia ngazi, wananchi hawakutaki. Hivi huoni CHADEMA na CUF wanajaza mikutano bila kutoa pilau wala khanga....wala usafiri, na wanapata watu wengi kuliko CCM pamoja na kuwa mnatoa usafiri bure(RUSHWA) kuhudhuria mikutano yenu. Kama alivyosema mwanzilishi wa CCM.....JAKAYA KIKWETE NA CCM YAKE...NI WA KUKWEPA KAMA UKOMA.
 
Naota kwamba nchi inaingia kwenye chaos kwa sababu ya kikwete kuhitaji kula.
Lolote na liwe Kikwete anaondoka kwa nguvu ya umma.

Na natoa angalizo kwa hawa wanaojifanya ni usalama wa wezi, kwamba nchi hii ni yetu wote. Tukiamua wananchi kuwa hatumtaki kikwete nawahakikishia wao hao usalama wa ccm kuwa hawataweza hata kwa dakika moja kumrudisha kwenye ikulu.

Sana sana tutafikia kuuana bure na hata wao watakufa wala wasidhani watapona. Wao na jamaa zao na familia zao watakuwa responsible kwa damu ya watanzania. Wawe macho kwa hili na wala tusitishane kwa nchi tuliyopewa wote na Mungu na wala si mali yao pekee katu.

Mungu ibariki Tanzania.
Chagua Dr Slaa Chagua Maendeleo kwa nchi hii.
Kweli kabisa palipo na nguvu ya umma usalama wa taifa hauweza kitu, nani asiyejua enzi za Mtukufu Moi na nguvu yake ya usalama wa taifa ilivyokuwa nani asiyejua nguvu ya polisi ya Kenya ilivyokuwa enzi za kipande kwa waliofika Kenya enzi za utukufu wa mzee Moi ni mashuhuda lakini pamoja na nguvu hizo zote nguvu ya umma ilishinda.
 
Dr. Slaa amewataka Synovate waende Mahakani wavishtaki vyombo vilivyoripti juu ya Utafiti, asema wanao ushahidi wa Utafiti huo na Kama Synovate wasipokwenda Mahakamani wao (CHADEMA) watawaharibia Credibility yao si tu Tanzania bali Dunia Nzima! Dr. Anaonekana ana mzigo wote wa Utafiti wa Synovate maana alikuwa akiongea Taratibu na kwa kujiamini
 
Slaa taratibu anaanza kuishiwa... Kauli kama hizi ni dalili tosha za kuishiwa!
 
Nimepata taarifa kuwa Dk Slaa amezungumza na waandishi wa habari leo na kusema ana ushahidi kuwa watumishi wa Usalama wa Taifa wametawanywa mikoa mbalimbali ili kuidhibiti Chadema na kuhakikisha CCM inashinda uchaguzi ujao. Wana JF waliohudhuria mkutano huo watumwagie vitu zaidi.


Baada ya sheria ya TISS kuundwa, tulitarajia mabadiliko ya kimtazamo kwani sasa si Idara tena bali ni Taasisi. Sasa Taasisi hii ya kijasusi tulitarajia ingefanya ujasusi wa maana kuleta maendeleo ya nchi katika viwanda na biashara ya nje........na kumbe maendeleo kwa TISS ni CCM chama cha mafisadi kuingia Ikulu kwa njia yeyote.

Kumbe maendeleo ni JK na wagonjwa wenzake wengine kuendelea kufuja rasilimali ya Taifa.

TISS msipohakikisha mafisadi wanaondoka madarakani, mtakuwa ni chombo cha kudharaulika kuliko takataka.....

Hivi mafunzo yenu ni kufuata amri kama mazuzu. Kwa hiyo code of conduct yenu ni kuwa
hata ukiambiwa umuue Rais utafanya hivyo? sasa mbona mnapoambiwa muliue na kuliangamiza Taifa mnakubali.....au nyinyi kweli ni Mbwa wa CCM?????????
 
Dogo Kibunango chagua Slaa.,

Achana na swahiba wa mafisadi Kikwete. Au nawe uko altareni kwa JK?
Huyo Slaa kajaza mafisadi tokea ngazi ja juu ya chama chake hadi chini... Mbaya zaidi yeye mwenyewe ni fisadi kiwembe...
Josephine%20kuhutubia.JPG
Bibie Josephine akimpiga tafu slaa..
 
Baada ya sheria ya TISS kuundwa, tulitarajia mabadiliko ya kimtazamo kwani sasa si Idara tena bali ni Taasisi. Sasa Taasisi hii ya kijasusi tulitarajia ingefanya ujasusi wa maana kuleta maendeleo ya nchi katika viwanda na biashara ya nje........na kumbe maendeleo kwa TISS ni CCM chama cha mafisadi kuingia Ikulu kwa njia yeyote.

Kumbe maendeleo ni JK na wagonjwa wenzake wengine kuendelea kufuja rasilimali ya Taifa.

TISS msipohakikisha mafisadi wanaondoka madarakani, mtakuwa ni chombo cha kudharaulika kuliko takataka.....

Hivi mafunzo yenu ni kufuata amri kama mazuzu. Kwa hiyo code of conduct yenu ni kuwa
hata ukiambiwa umuue Rais utafanya hivyo? sasa mbona mnapoambiwa muliue na kuliangamiza Taifa mnakubali.....au nyinyi kweli ni Mbwa wa CCM?????????
 
That will work if and only if those homeland security chiefs are Muslims.

Vinginevyo CCM wanatwanga maji kwenye kinu

Hakuna sababu ya kubagua ndugu. Waislamu na Wakristo wote ni Watanzania na wamechoshwa na ufisadi. Utajikuta unaharibu kile kilichoanza kujengwa. Next time approach vitu kitaalamu na hoja zaidi.
 
Huyo Slaa kajaza mafisadi tokea ngazi ja juu ya chama chake hadi chini... Mbaya zaidi yeye mwenyewe ni fisadi kiwembe...
Josephine%20kuhutubia.JPG
Bibie Josephine akimpiga tafu slaa..
Kibunango tangu lini ulianza kuungua mental diorder? Siamini kwamba ni wewe uliyeweka post hiyo hapo juu!
 
Tuijali nchi yetu. CCM ipumzishwe mwaka huu. Binafsi nitajitahidi kushawishi watu wengine zaidi ya kumi ili wamchague Dr. Slaa, huu ndiyo mchango wangu kwa nchi yangu Tanzania.
 
Back
Top Bottom