Mkandara--Zawadi Ngoda,
Pengine wewe hujui Siasa zaidi ya kusomma hiki kijiwe cha JF. Unaandika mengi kwa fikra zako kuliko kuwa na utafiti wa kutosha halafu pia huna takwimu zinazoweza kuhakikisha maneno yako. Zaidi ya yote haya inaonyesha hofuy yako kuingia kwa Dr.Slaa ktk Uchaguzi huu kwa sababu hali iliyopo leo kisiasa haijawahi kutokea hata ule wakati wa Mrema haikufikia wananchi kuwa na mwanga mkubwa kiasi hiki.
Labda nikuulize wewe unayejua zaidi, Je, Chadema wangekuwa ktk hali gani kama Dr. Slaa asingegombea?
Kiukweli Chadema wasingemuweka Slaa, uchaguzi ungekuwa kalas. Mi naona the only way for CCM to behave and govern appropriately is for Chadema to gain more strength. The guy is unlikely to win this election, but if he can get 30+ percentage points na viti 70-100 vya ubunge. That would be a powerful remainder for CCM to actually start to govern.
Swali ni can Chadema be a serious opposition party? can they organize themselves in nyumba 10-10, come up with sera za maendeleo ya uchumi that is alternative to CCM's and be able to sell them kwa Mtanzania wa kawaida kama mimi. If they can do that, and sustain it for long time, then they can gain the trust ya mtanzania wa kawaida. And they have to remove the label ya uchaga. Najua wadau hawataki kuisikia, but kwenye vijiwe vya mtaani it resonates a lot kwa non wachaga watanzania. I will speak kama mwanachama wa CCM, I think we need a strong Chadema in this country to make politicians in power more accountable.