Wanajamvi,
Jana nilikuta mabishano makao makuu ya chadema. Wengi wao ni wajumbe wa Baraza kuu ambao wanaamua hatma ya mgombea urais wa chadema 2015. Wanasema Rais ajaye atatoka chadema. Lakini mgawanyiko ukaanza pale ambapo wanamjadala waligawanyika ktk makundi ya Mbowe na Slaa.
Wanaosema Slaa wana sababu hizi;
Umaarufu wa Chadema umejengwa na Slaa.
Watanzania wanampenda Slaa zaidi ya mtu yeyote Chadema akiwepo Mbowe.
Slaa anajua mambo mengi kwa kuwa alikuwa bungeni 15 years?
Slaa ana elimu kubwa kuliko Mbowe.
Changamoto zake.
Ana umri mkubwa 2015 atakuwa na 67.
Historia ya upadri inawasumbua baadhi ya wapiga kura hasa waislamu. Mbona 2010 alipata kura nyingi? Still debatable.
Waungaji wa Mbowe.
Mbowe umri mzuri kuliko Slaa -- 62 vs 50 ya mbowe. 2015 atakuwa 55
Mbowe atatusaidia kwa fedha zake wakati wa kampeni.
Anajua kujieleza sana kupita hivyo atawashawishi wapiga kura.
Changamoto yake
Ana elimu ndogo.
Watanzania kutowaamini wachaga
Baada ya mjadala ule wa mtaani nikampigia moja wa mrafiki zangu ambaye ni kiongozi wa chadema wa makao makuu kujua wanampango wa kumpitisha nani awe mgombea wao wa Urais wa mwaka 2015. Akaniambia vikao vya chama vitaamua. Hata hivyo, kuna ukweli kwamba Mbowe baada ya kuona kuwa chadema inaungwa sana mkono anafikiria kutaka kugombea mwenyewe tena. Halafu akamalizia japo kuwa Mbowe ni rafiki yangu naona kama hajakubalika kama Dr Slaa.
My take; Mbowe na Slaa wakiingia wote ktk mchakato wa kura za maoni wataivuruga Chadema.Heri wakubaliane moja wao agombee baada ya kufanya utafiti.
Mleta mada ana makusudi ya kuwachonganisha Dr. Slaa na Mh. Mbowe. Hakuna lolote hapo. Kama ilivyokuwa katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2010, CDM walitumia mbinu za kisayansi kumpata mgombea urais anayekubalika, hali kadhalika wanapaswa kutumia mbinu hizo hata 2015. Kama hawatatumia mbinu hizo kumpata mgombea urasi 2015 basi wasubiri kuvuna mabua. WanaCDM msiingie katika mitego ya mafisadi ama kugombana wenyewe au kuwapitisha wagombea wenu kwa purukushani.
Wasipokuwa makini mwaka 2015 nao watagawanyika kama CCM.
Wanajamvi,
Jana nilikuta mabishano makao makuu ya chadema. Wengi wao ni wajumbe wa Baraza kuu ambao wanaamua hatma ya mgombea urais wa chadema 2015. Wanasema Rais ajaye atatoka chadema. Lakini mgawanyiko ukaanza pale ambapo wanamjadala waligawanyika ktk makundi ya Mbowe na Slaa.
Wanaosema Slaa wana sababu hizi;
Umaarufu wa Chadema umejengwa na Slaa.
Watanzania wanampenda Slaa zaidi ya mtu yeyote Chadema akiwepo Mbowe.
Slaa anajua mambo mengi kwa kuwa alikuwa bungeni 15 years?
Slaa ana elimu kubwa kuliko Mbowe.
Changamoto zake.
Ana umri mkubwa 2015 atakuwa na 67.
Historia ya upadri inawasumbua baadhi ya wapiga kura hasa waislamu. Mbona 2010 alipata kura nyingi? Still debatable.
Waungaji wa Mbowe.
Mbowe umri mzuri kuliko Slaa -- 62 vs 50 ya mbowe. 2015 atakuwa 55
Mbowe atatusaidia kwa fedha zake wakati wa kampeni.
Anajua kujieleza sana kupita hivyo atawashawishi wapiga kura.
Changamoto yake
Ana elimu ndogo.
Watanzania kutowaamini wachaga
Baada ya mjadala ule wa mtaani nikampigia moja wa mrafiki zangu ambaye ni kiongozi wa chadema wa makao makuu kujua wanampango wa kumpitisha nani awe mgombea wao wa Urais wa mwaka 2015. Akaniambia vikao vya chama vitaamua. Hata hivyo, kuna ukweli kwamba Mbowe baada ya kuona kuwa chadema inaungwa sana mkono anafikiria kutaka kugombea mwenyewe tena. Halafu akamalizia japo kuwa Mbowe ni rafiki yangu naona kama hajakubalika kama Dr Slaa.
My take; Mbowe na Slaa wakiingia wote ktk mchakato wa kura za maoni wataivuruga Chadema.Heri wakubaliane moja wao agombee baada ya kufanya utafiti.
Gurtu watu walikuwa wanabadilishana mawazo, hili ni jambo la kawaida. Hawakuwa wanagombana.
Mimi nilidhani wewe ni bushmen utaongea lugha tofauti kumbe hata ung'ng'e unaujua!It is too early now to discuss about Chadema presidential candidate in 2015!!!it is convinient time now to discuss about strategies on how to alleviate ordinary Tanzanians' poverty!!!
Wanajamvi,
Jana nilikuta mabishano makao makuu ya chadema. Wengi wao ni wajumbe wa Baraza kuu ambao wanaamua hatma ya mgombea urais wa chadema 2015. Wanasema Rais ajaye atatoka chadema. Lakini mgawanyiko ukaanza pale ambapo wanamjadala waligawanyika ktk makundi ya Mbowe na Slaa.
Wanaosema Slaa wana sababu hizi;
Umaarufu wa Chadema umejengwa na Slaa.
Watanzania wanampenda Slaa zaidi ya mtu yeyote Chadema akiwepo Mbowe.
Slaa anajua mambo mengi kwa kuwa alikuwa bungeni 15 years?
Slaa ana elimu kubwa kuliko Mbowe.
Changamoto zake.
Ana umri mkubwa 2015 atakuwa na 67.
Historia ya upadri inawasumbua baadhi ya wapiga kura hasa waislamu. Mbona 2010 alipata kura nyingi? Still debatable.
Waungaji wa Mbowe.
Mbowe umri mzuri kuliko Slaa -- 62 vs 50 ya mbowe. 2015 atakuwa 55
Mbowe atatusaidia kwa fedha zake wakati wa kampeni.
Anajua kujieleza sana kupita hivyo atawashawishi wapiga kura.
Changamoto yake
Ana elimu ndogo.
Watanzania kutowaamini wachaga
Baada ya mjadala ule wa mtaani nikampigia moja wa mrafiki zangu ambaye ni kiongozi wa chadema wa makao makuu kujua wanampango wa kumpitisha nani awe mgombea wao wa Urais wa mwaka 2015. Akaniambia vikao vya chama vitaamua. Hata hivyo, kuna ukweli kwamba Mbowe baada ya kuona kuwa chadema inaungwa sana mkono anafikiria kutaka kugombea mwenyewe tena. Halafu akamalizia japo kuwa Mbowe ni rafiki yangu naona kama hajakubalika kama Dr Slaa.
My take; Mbowe na Slaa wakiingia wote ktk mchakato wa kura za maoni wataivuruga Chadema.Heri wakubaliane moja wao agombee baada ya kufanya utafiti.
Kwani nyie ccm mnadhani nani anafaa kuwa kwenye hiyo nafasi ya Urais kati ya hao mliotupatia.kati ya Mh Dr W.P.Slaa NA Mh F.Mbowe.Pendekezeni jina moja maana wote sisi tunawaona ni vinara.