Elections 2010 Slaa na Mbowe, nani atafaa kwa urais 2015?

Elections 2010 Slaa na Mbowe, nani atafaa kwa urais 2015?

Huyu katumwa na Nape. Hana lolote. Kwanza, nani kamwambia kuwa Mbowe anataka urais? Hata mwaka 2005 alijitosa katika kinyang'anyiro hicho baada ya kuombwa na chama. Mbowe hakutaka kugombea nafasi hiyo.<br><br>Sasa nami namuuliza: Kati ya Wilson Mukama, Lowassa, Rostam, Migiro, Hussen Mwinyi na Benard Membe AKA Joka la Mdimu, nani atafaa kugombea urais?

Yoyete kati yao anafaa kugombea Urais ila hakuna hata anayefaa kuwa Rais! Swali lingine?
 
Hawa ni vijana wa NAPE wenye akili mgando waliotumwa na NAPE kuja kuandika upuuzi hakuna mtu ndani ya CDM anayezungumzia URAIS,Nadhani mtoa mada anawaza kwa kutumia makamasi,akili zake mgando kama NAPE,haya nenda ofisi za CCM ukachukue posho kwa kazi uliotumwa ya kuandika upuuzi,ANGUKO LA CCM LIMETIMIA.
 
kwa nini mnakubali kuingizwa kwenye mtego na hiyo thread. cdm sasa hivi ijikite kuimarisha chama na kupanua mtandao mpaka vijijini. hayo ya nani atakuwa rais hayana tija kwa sasa hivi. tusipoteza muda kujadili tread hii mmetegwa waungwana
 
Wanajamvi,
Nashauri tusitumie muda kujadili non issues.
i) Kwa Chadema "vyeo" havijawahi na wala havitawahi kuwa issue. Chadema tuna utamaduni wa kupeana "majukumu" na si vyeo. Wakati utakapofika Chadema ina utaratibu wake wa kuchagua "nani anafaa kwa jukumu gani kwa wakati huo"
2) Tuko kwenye hata muhimu sana, kupanga namna ya kumkomboa mtanzania na kulikomboa Taifa. Huyo aliyekuambia auwaliokuambia kuna mjadala ikiwa ni pamoja na uliyesema ni "mjumbe wa Baraza Kuu" hajui utaratibu wa Chadema kuteua wagombea wake. Makao Makuu kwa sasa yana kazi kubwa kuweka mikakati ya ukombozi na hakuna muda wa porojo na propaganda.
3) Mbowe na Slaa ni Timu, na ndani ya Chadema wako wanachama wengi tu wenye sifa. Tusianze kuminya demokrasia kuanzia sasa. Tukipoteza muda kwenye kugombania nafasi tutapoteza dira "kama wenzetu", na inawezekana ndio lengo la kupandikizwa kwa mjadala huu usio na tija kwa leo. Hii haina maana kuwa Watanzania wanyimwe fursa ya kujadili viongozi wanaowataka. Lakini ikumbukwe kuwa kila Chama kina utamaduni wake katika mambo mazito kama haya ya Uongozi wa kitaifa. Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Chadema.


Wanajamvi,
Jana nilikuta mabishano makao makuu ya chadema. Wengi wao ni wajumbe wa Baraza kuu ambao wanaamua hatma ya mgombea urais wa chadema 2015. Wanasema Rais ajaye atatoka chadema. Lakini mgawanyiko ukaanza pale ambapo wanamjadala waligawanyika ktk makundi ya Mbowe na Slaa.

Wanaosema Slaa wana sababu hizi;
Umaarufu wa Chadema umejengwa na Slaa.
Watanzania wanampenda Slaa zaidi ya mtu yeyote Chadema akiwepo Mbowe.
Slaa anajua mambo mengi kwa kuwa alikuwa bungeni 15 years?
Slaa ana elimu kubwa kuliko Mbowe.

Changamoto zake.
Ana umri mkubwa 2015 atakuwa na 67.
Historia ya upadri inawasumbua baadhi ya wapiga kura hasa waislamu. Mbona 2010 alipata kura nyingi? Still debatable.

Waungaji wa Mbowe.
Mbowe umri mzuri kuliko Slaa -- 62 vs 50 ya mbowe. 2015 atakuwa 55
Mbowe atatusaidia kwa fedha zake wakati wa kampeni.
Anajua kujieleza sana kupita hivyo atawashawishi wapiga kura.



Changamoto yake
Ana elimu ndogo.
Watanzania kutowaamini wachaga

Baada ya mjadala ule wa mtaani nikampigia moja wa mrafiki zangu ambaye ni kiongozi wa chadema wa makao makuu kujua wanampango wa kumpitisha nani awe mgombea wao wa Urais wa mwaka 2015. Akaniambia vikao vya chama vitaamua. Hata hivyo, kuna ukweli kwamba Mbowe baada ya kuona kuwa chadema inaungwa sana mkono anafikiria kutaka kugombea mwenyewe tena. Halafu akamalizia japo kuwa Mbowe ni rafiki yangu naona kama hajakubalika kama Dr Slaa.

My take; Mbowe na Slaa wakiingia wote ktk mchakato wa kura za maoni wataivuruga Chadema.Heri wakubaliane moja wao agombee baada ya kufanya utafiti.
 
Dr Slaa inawezekana asipate ridhaa ya mh Mbowe kuwania urais. Inaonyesha kuwa Mh Mbowe ana mkakati wa kugombea urais mwenyewe na hi inadhirika kwa kutaka uongozi bungeni na kungagania uenyekiti.

Harakati zake zimeanza. Alimwachia Slaa 2010 maana alijua kumtoa incumbant kikwete ni vigumu lakini kuwania na mtu mpya 2015 ni rais.

Hata na Zitto anataka. Ugomvi umeanza. Mode usinichakachue
 
ah! wamuachie mzee ndesamburo naye ajaribu bahati yake..................
 
hii thread inaweza kuwa kweli. kitu kingine kibaya kuhusu mbowe ni kutaka kuua vyama vingine vya upinzani ili cdm kibaki kuwa chama kikuu cha upinzani. hii theory yake ni mbaya na itaumiza cdm vibaya 2015.
 
hii thread ni ya wachakuchuaji...............................kwanza naishia hapa nisipoteze muda kuchangia thread yako ambayo haina evidence
 
majasho wewe ni gamba unafahamika hapa JF na propaganda za nepi, pole mama
 
We Narubongo, kwanza na wasi ms uraia wako. Alafu Internet bill yako iko subsidized na CDM utaacha kutetea?
 
huyu majasho na wachangiaji wake chazgnat, police, notmar kama ni mtu mmoja!
 
Yaani CCM haina mawazo ya kuleta maendeleo zaidi ya kuzungumzia uchaguzi tu!!
 
Whoever becomes president among the CDMs is OK for me. I just want to see a change!!
 
Dr Slaa inawezekana asipate ridhaa ya mh Mbowe kuwania urais. Inaonyesha kuwa Mh Mbowe ana mkakati wa kugombea urais mwenyewe na hi inadhirika kwa kutaka uongozi bungeni na kungagania uenyekiti.

Harakati zake zimeanza. Alimwachia Slaa 2010 maana alijua kumtoa incumbant kikwete ni vigumu lakini kuwania na mtu mpya 2015 ni rais.

Hata na Zitto anataka. Ugomvi umeanza. Mode usinichakachue

kaakinya wewe, watu wako na bajeti wewe unaleta majasho.... mbaffff!!!!!!
 
ujinga ujinga ujinga ujinga ujinga ujinga ujinga ukosefu wa kasi ukosefu wa kazi na uharibifu wa mali hovyo magamba mnajaza server bure shit
 
Back
Top Bottom