Elections 2010 Slaa na Mbowe, nani atafaa kwa urais 2015?


Yoyete kati yao anafaa kugombea Urais ila hakuna hata anayefaa kuwa Rais! Swali lingine?
 
Hawa ni vijana wa NAPE wenye akili mgando waliotumwa na NAPE kuja kuandika upuuzi hakuna mtu ndani ya CDM anayezungumzia URAIS,Nadhani mtoa mada anawaza kwa kutumia makamasi,akili zake mgando kama NAPE,haya nenda ofisi za CCM ukachukue posho kwa kazi uliotumwa ya kuandika upuuzi,ANGUKO LA CCM LIMETIMIA.
 
kwa nini mnakubali kuingizwa kwenye mtego na hiyo thread. cdm sasa hivi ijikite kuimarisha chama na kupanua mtandao mpaka vijijini. hayo ya nani atakuwa rais hayana tija kwa sasa hivi. tusipoteza muda kujadili tread hii mmetegwa waungwana
 
Wanajamvi,
Nashauri tusitumie muda kujadili non issues.
i) Kwa Chadema "vyeo" havijawahi na wala havitawahi kuwa issue. Chadema tuna utamaduni wa kupeana "majukumu" na si vyeo. Wakati utakapofika Chadema ina utaratibu wake wa kuchagua "nani anafaa kwa jukumu gani kwa wakati huo"
2) Tuko kwenye hata muhimu sana, kupanga namna ya kumkomboa mtanzania na kulikomboa Taifa. Huyo aliyekuambia auwaliokuambia kuna mjadala ikiwa ni pamoja na uliyesema ni "mjumbe wa Baraza Kuu" hajui utaratibu wa Chadema kuteua wagombea wake. Makao Makuu kwa sasa yana kazi kubwa kuweka mikakati ya ukombozi na hakuna muda wa porojo na propaganda.
3) Mbowe na Slaa ni Timu, na ndani ya Chadema wako wanachama wengi tu wenye sifa. Tusianze kuminya demokrasia kuanzia sasa. Tukipoteza muda kwenye kugombania nafasi tutapoteza dira "kama wenzetu", na inawezekana ndio lengo la kupandikizwa kwa mjadala huu usio na tija kwa leo. Hii haina maana kuwa Watanzania wanyimwe fursa ya kujadili viongozi wanaowataka. Lakini ikumbukwe kuwa kila Chama kina utamaduni wake katika mambo mazito kama haya ya Uongozi wa kitaifa. Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Chadema.


 
Dr Slaa inawezekana asipate ridhaa ya mh Mbowe kuwania urais. Inaonyesha kuwa Mh Mbowe ana mkakati wa kugombea urais mwenyewe na hi inadhirika kwa kutaka uongozi bungeni na kungagania uenyekiti.

Harakati zake zimeanza. Alimwachia Slaa 2010 maana alijua kumtoa incumbant kikwete ni vigumu lakini kuwania na mtu mpya 2015 ni rais.

Hata na Zitto anataka. Ugomvi umeanza. Mode usinichakachue
 
ah! wamuachie mzee ndesamburo naye ajaribu bahati yake..................
 
hii thread inaweza kuwa kweli. kitu kingine kibaya kuhusu mbowe ni kutaka kuua vyama vingine vya upinzani ili cdm kibaki kuwa chama kikuu cha upinzani. hii theory yake ni mbaya na itaumiza cdm vibaya 2015.
 
hii thread ni ya wachakuchuaji...............................kwanza naishia hapa nisipoteze muda kuchangia thread yako ambayo haina evidence
 
majasho wewe ni gamba unafahamika hapa JF na propaganda za nepi, pole mama
 
We Narubongo, kwanza na wasi ms uraia wako. Alafu Internet bill yako iko subsidized na CDM utaacha kutetea?
 
huyu majasho na wachangiaji wake chazgnat, police, notmar kama ni mtu mmoja!
 
Yaani CCM haina mawazo ya kuleta maendeleo zaidi ya kuzungumzia uchaguzi tu!!
 
Whoever becomes president among the CDMs is OK for me. I just want to see a change!!
 

kaakinya wewe, watu wako na bajeti wewe unaleta majasho.... mbaffff!!!!!!
 
ujinga ujinga ujinga ujinga ujinga ujinga ujinga ukosefu wa kasi ukosefu wa kazi na uharibifu wa mali hovyo magamba mnajaza server bure shit
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…