JackieMisha
Member
- Aug 7, 2019
- 9
- 1
Nipo mbeya, Bei 5000. KaribuUko wapi na bei??
Nawasubiri
Mbeya sehemu gani mkuuNipo mbeya, Bei 5000. Karibu
Mbeya mjini hapa iyungaMbeya sehemu gani mkuu
Sawa mkuuMbeya mjini hapa iyunga
Sawa, asante.Edit uzi wako kisha weka location na mawasiliano
Habari zenu wote. Karibuni Sana, nauza kofia za kulalia kwa wale waliosuka rasta, kushonea weaving, wenye curly hair, natural hair nk. Kitambaa Ni satin, na kwa kuwa satin ni kitambaa laini kofia hizi zitasaidia kulinda nywele zako kwenye kukatika, kujifunga, kwa Rasta kuchakaa haraka ama mtindo kuharibika. Nipo mbeya Ila kwa Alie nje ya mbeya pia anaweza kuipata. Kwa maelezo zaidi 0679763027
AsanteeKila la kheri
Naipataje DarNipo mbeya, Bei 5000. Karibu
Asante mumy, kuipata inawezekana kabisa...Kuna rafiki yangu anazo huko. Ukiwa tayari plz call or Whatsapp 0679763027Naipataje Dar