Slow down

Slow down

donlucchese

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2011
Posts
17,128
Reaction score
21,885
A girl and guy were speeding over 100 mph on a motorcycle)
Girl: Slow down. Im scared.
Guy: No this is fun.
Girl: No its not. Please, its too scary!
Guy: Then tell me you love me.
Girl: Fine, I love you. Slow down!
Guy: Now give me a BIG hug. (Girl hugs him)
Guy: Can you take my helmet off and put it on? Its bugging me.
Girl: Okay. Now please slow down!

In the paper the next day: A motorcycle had crashed into a building
because of break failure. Two people were on the motorcycle, but only one survived.

The truth was that halfway down the road, the guy realized that his breaks broke, but he didn't want to let the girl know. Instead, he had her say she loved him, felt her hug one last time, then had her wear his helmet so she would live even though it meant he would die.
 
wooooo
you need to slow down brother
Too good to be true mmmhhh

dahhhh nilivyoanza soma hizo slow down
mmmhhh akili ilikuwa kwenye Idara nyingine
mmmmhhh
 
uliye naye vipi tena Asha,huamini penzi lake kwamba ni zito kiasi cha kukufia weye?


Bishanga nimeridhika nae saaana, lakini siko confident kua anaweza fika hadi wapi hasa pale anapojua kua mmoja wetu anatakiwa afariki, inawezekana akanichagua mimi niishi yeye afariki lakini si sababu ya kunipenda bali labda akajua kua wale watoto watakua in best hands mimi nikiwa hai kuliko yeye... maana inaeleweka watoto huteseka zaidi mama akifariki kuliko baba... Pia Bishanga nampenda mume wangu na bado sijaona dalili ya kusema yeye hanipendi, sielewi rohoni ni to what extent ananipenda ... but ya rohoni hainipi shida sababu in reality ananionesha...

But katika hii thread ni mtu na boyfriend wake.... kweli inagusa saana.
 
wooooo
you need to slow down brother
Too good to be true mmmhhh

dahhhh nilivyoanza soma hizo slow down
mmmhhh akili ilikuwa kwenye Idara nyingine
mmmmhhh


AD nami niliwaza hivyo hivyo... kidogo niishie njiani kusoma...
 
AD nami niliwaza hivyo hivyo... kidogo niishie njiani kusoma...

hahahahahha lol
dahhh ni uchovu tu
nafikiri unatufanya tuwaze hivyo
mmmhhhh.. sasa hivi unaweza kuingia kule
ambako watoto hawawezi ingia ?? waweza kuni PM jibu
asante bibi mzuri...
 
Bishanga nimeridhika nae saaana, lakini siko confident kua anaweza fika hadi wapi hasa pale anapojua kua mmoja wetu anatakiwa afariki, inawezekana akanichagua mimi niishi yeye afariki lakini si sababu ya kunipenda bali labda akajua kua wale watoto watakua in best hands mimi nikiwa hai kuliko yeye... maana inaeleweka watoto huteseka zaidi mama akifariki kuliko baba... Pia Bishanga nampenda mume wangu na bado sijaona dalili ya kusema yeye hanipendi, sielewi rohoni ni to what extent ananipenda ... but ya rohoni hainipi shida sababu in reality ananionesha...

But katika hii thread ni mtu na boyfriend wake.... kweli inagusa saana.

mapenzi,mapenzi,mapenzi.......nakuombea wewe uwe his last love,itakuwa neema na baraka iliyoje kwenu wawili!
 
hahahahahha lol
dahhh ni uchovu tu
nafikiri unatufanya tuwaze hivyo
mmmhhhh.. sasa hivi unaweza kuingia kule
ambako watoto hawawezi ingia ?? waweza kuni PM jibu
asante bibi mzuri...



The above naona ni wazo zuri... after all kuna huyu mtoto mwenye thread hii, haitapendeza tukichakachua hio akili....
 
The above naona ni wazo zuri... after all kuna huyu mtoto mwenye thread hii, haitapendeza tukichakachua hio akili....

hahahah lol
umeona thread kama
nne tano hivi zimefunguliwa
asubuhii hii za ajabu kweli kweli ..
na dhani shule zimefungwa mapema mmmhh
 
hahahah lol
umeona thread kama
nne tano hivi zimefunguliwa
asubuhii hii za ajabu kweli kweli ..
na dhani shule zimefungwa mapema mmmhh


Leo ndo nimegundua these mods hawalali tayari nyingine zimefungiwa....
 
tupo lakini wachache sana. Mimi bana waifu akitafunwa na Mbu basi nalia mimi. Kupenda balaa jamani


hahahah... nafurahi kua nawe ni mmoja wapo... ila ukijisikia tu kulia zingatia yafuatayo;


WARNING: if you are too serious you better avoid me cuz I always define life as a joke. (source Sig ya Klorokwini)


 
hahahahahah lol
umeanza ae mbu anatafuna hahahah lol
jamani jamanai we unajua kunichekesha kwa kweli lol
Lile darasa la true love vipi? au limehairishwa? hapa ndio mahala pake si unaona jamaa katoa Helmet ili bimdogo apone, halaf habari za kuaminika siku 20 baada ya maziko bimdogo kakutikana gesti na njemba ya kijaluo. Wanawake bana!
 
Back
Top Bottom