Smart phones nyumba za ibada, no please!

Daah eti nayeye ameji-record kabisa kama Amateur ....ama kweli mjini kila mtu baby uzee mwisho chalinze ...

Mara nyingi ndio inavyo kuwaga ..ukitafuta pesa kwa maagano na shetani " inapotokea ukavunja masharti lazima mwisho wako uwe mbaya tu
Hata hivyo yeye ni amateur kwenye porn industry [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji1][emoji1][emoji1]ila fundi
Kwa style 1 ile ile huo ufundi ana utoa wapi ..nina hakika hata wewe usingecheza poor performance kama ile .. mechi ingeisha yule mtoto akiwa mwekundu kama pili pili kichaa iliyoiva
 
my bro ni kweli mie nilishawaza sana suala hili na siendi na simu kanisani. Naiacha nyumbani kama kuna lolote nitalikuta tu kwani ni masaa machache ninayoabudu katika dhehebu langu.
 
my bro ni kweli mie nilishawaza sana suala hili na siendi na simu kanisani. Naiacha nyumbani kama kuna lolote nitalikuta tu kwani ni masaa machache ninayoabudu katika dhehebu langu.
Hata mimi... Yani ni lazima kutoa masaa machache ya kuwa na Mungu bila usumbufu
 
Hapa umesema na kumaliza Chief

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Leo Chief Mshana,ameingia choo cha kike kbs Bro

Uislam upo na Waislam wapo
Uislam unaweza ukawa tofauti saaana na weengi wale wanaojiita Waislam

Kisha

Bandiko la Mshana,amekopi na kupasti huku akiamini kuwa ni Ukweli

Kwann Chief Mshana,asituletee kuhusu namba 666 kwa upande wake zaidi,maana huko ndio kwake na anapajua vema,kuliko kuongea jambo la upande mwengine,ilihali ni mjinga napo...!!!!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwann Chief Mshana,asituletee kuhusu namba 666 kwa upande wake zaidi,maana huko ndio kwake na anapajua vema,kuliko kuongea jambo la upande mwengine,ilihali ni mjinga napo...!!!!!!!
[emoji144][emoji144][emoji144][emoji144][emoji144][emoji144][emoji144][emoji144][emoji144][emoji144][emoji144][emoji144]
Jr[emoji769]
 
Mafuvu na mifupa (skulls and bones)
Jr[emoji769]
 
Ufunuo wa nyakati za mwisho utimilifu wa dahari na kikomo cha muda
Jr[emoji769]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…