[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mamaaa mbona kama unatumia nguvu nyingi sana???
wewe yako lini au ishapita?? (interview)
Sent from my Siemens kidole juu using JamiiForum mobile app.
mmh! Waoane unajuaje kama hawajaoana we mbiti!!?
DJ sepetu
Lakini wewe babe upimwe tu mkojommh! Waoane unajuaje kama hawajaoana we mbiti!!?
DJ sepetu
Miss u[emoji7][emoji7]
Safiiiii sana mamaaaa,
Am yo side kwa kweli.
[emoji122] [emoji122] [emoji122]
Sent from my Siemens kidole juu using JamiiForum mobile app.
Mmmmh kwa hili neno 'Dogo' najua hakuna mtu wa kuniita hivyo isipokua yuleeeeeeee dada angu kipendhiiiii naniliuuuuu.... lolah wapi shoo! nilikua namjibu maserati tu kiutan! hahahhaa yan mie ntumie ngv kuwa kwahawa wadogo zangu! hehehe nimekosa nn sasa jaman!lkhaa.. dogo! sie tunafurahi /kusubiri waoane bas tuwakaribishe tu chaman! sinaga battle mie dogo!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Wacha weee tangu lini umekuwa team mahondaw
inabidi kojo lako lipelekwe zimbabwe likapimiwe huko aisehhh
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sipo team yake ila nampongeza kwa uamuzi wa busara coz raha ya jambo uandaliwe kwanza sio kukurupushwa atiiiii.
Sent from my Siemens kidole juu using JamiiForum mobile app.
Hongera sana kwa kuwa wewe ni mmoja wa watu wanao ichangamsha chit-chat lakini kuna jambo unatakiwa kuli rekebisha kidogo.....hasa kwenye usaili...It's me!
any problem!
DJ sepetu
Thanks brother kwa hekima !Hongera sana kwa kuwa wewe ni mmoja wa watu wanao ichangamsha chit-chat lakini kuna jambo unatakiwa kuli rekebisha kidogo.....hasa kwenye usaili...
Unatakiwa kuhakikisha una wasiliana na watu unao taka kuwafanyia usaili ili usipate vikwazo sana na ili ukiandika kuwa utawafanyia interview watu fulani uwe na hakika lakini kama huto waandaa basi utaonekana unataka kuwasumbua au kuwadhalilisha maana ukweli ni kwamba si kila mtu hupenda kuweka mambo yake public na si kila mtu hupenda kufanyiwa interview hata kama anatumia Id bandia.....
Jitahidi kuwasiliana na wasailiwa mapema kabla ya siku au muda wa usaili na unawapa na topic na wao wanaweza kwambia kabisa mambo gani wasingelipenda kuulizwa.
Wasalaam
[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4]OBJECTION [emoji113]
Wee muosha rungu Wee usinitafute ubaya ujue nani kakubali?? Don't force me puliiiiiiiiiiiiiiizzzzzz!!
WE DONT HAVE TIME FOR THE INTERVIEW
Mahondaw wa Smart911
Jinsi unavyo penda watu.... Ntakuletea
Me ndio najionea hapa.... Team what da hell is dat... lolKumbe kuna teams humu?? Tehtehteh
[HASHTAG]#Teamfuatamkumbohaha[/HASHTAG]
Bora kuwa pekeangu kuliko kuwa na wanafiki
Mahondaw wa Smart911
Mbona umeshangaa saaana Mrs Baily
Haaaaaaa ona [emoji116] [emoji116]Me ndio najionea hapa.... Team what da hell is dat... lol
Am too old and wiser for that shit called Team.
Tho najua hakumaanisha vibaya so Chillax bbymama.
Sent from my Siemens kidole juu using JamiiForum mobile app.
Wacha weee tangu lini umekuwa team mahondaw
inabidi kojo lako lipelekwe zimbabwe likapimiwe huko aisehhh