Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 67,252
- 168,563
Simtetei mbona.. Kwani kakufanya nini mbona ivo?? Itabidi uwe matef wangu tu hata kama u mnafiki najua kwangu huchomoki lol [emoji15] [emoji15] [emoji23] [emoji23] natania) Le originale metii alininunia ha ha ha haSi umesema huna rafiki huku au ushassahau ulichokiandika. Usimtetee huyo mkojo wa mbuzi culture gal maana hajawahi kuwa rafiki yako na wala hajawahi kukupa shout out anajipendekeza kwako. Mwache aibu zimshukee yeye usimtete kabisaa
Namshangaa sana huyu ila ngoja nimuache nisome mchezo
Mimi sio fake mate jamani usinikane ivyo bana ntashindwa enda church
Mahondaw wa Smart911