Tecno w4 itakufaa ZaidNatamani sana simu yoyote yenye 4G, RAM 1GB+, ROM 8GB+ kutoka Tecno au Samsung.
Poa mkuu, nitaitafutaTecno w4 itakufaa Zaid
S8??!s8 mkuu?
[emoji1]smartphone ninayoipenda
Mkuu iyo yakoNapenda simu zenye screen ndogo, lakini powerful katika uwezo. Kuliko kuwa na screen kubwa bora kuwa na tablet. Lakini to a smartphone I feels comfortable ikiwa simple and good.
Always my choices its iPhone. 5S, SE na I hope version ya iPhone 7 sio kubwa sana kama 7 plus.
Logic yangu kuwa, a smartphone ni ile ambayo you can type with one hand na ukiwa comfortable. And still, it's powerful as a computer.
Sasa hivi natumia y3+ yenye RAM 512MB, kwa hiyo sitapata tabu sana nikipata simu yenye RAM kubwa zaidi ya hii..jf inamatatizo nimekuquote bahati mbaya. namimi nilikuwa nashangaa kama kuna galaxy s8. ila RAM ya 1GB huoni kuwa ndogo sana?
Mkuu iyo yakoni Gb ngap?? Cz mwenyew nataka kanunua 5s sasa