Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 16,908
- 19,123
Yes, hata miaka ya 97 huko ulikuwa ukinunua simu tritel au mobitel unakamata kimotorora chako hakina simcard ilikuwa integrated huwezi hama kampuni.Yaani kwamba? Hizi laini zitakua hazitumiki au?
unamlipa nani mitandao ya simu au starlink.? na kama unalimpa starlink je,mitandao ya simu itakubali yaami utumie simu yako uliyoweka line yao mfano Voda au airtel eti uitumie kuperuzi starlink alafu wao wanapata nini? hapo labda wagawane mapato au starlink wawe na laini zao spesho za internet zitakazo link moja kwa moja na satelaiti zao..ila hio kutegemea kina voda wakati umempunguzia wateja wake thubutuu..!Unalipia
Hizi simu tunazotumia hazina uwezo huo, kama ambavyo simu isiyo na 5G alafu uweke simcard inayo support 5G hautapata hiyo kasi.unamlipa nani mitandao ya simu au starlink.? na kama unalimpa starlink je,mitandao ya simu itakubali yaami utumie simu yako uliyoweka line yao mfano Voda au airtel eti uitumie kuperuzi starlink alafu wao wanapata nini? hapo labda wagawane mapato au starlink wawe na laini zao spesho za internet zitakazo link moja kwa moja na satelaiti zao..ila hio kutegemea kina voda wakati umempunguzia wateja wake thubutuu..!
Unyama sana, Jamaa anataka ashikilie dunia...!!Yes, hata miaka ya 97 huko ulikuwa ukinunua simu tritel au mobitel unakamata kimotorora chako hakina simcard ilikuwa integrated huwezi hama kampuni.
Sasa hivi wameboresha ni esim simu nyingi za kisasa zinazokuja wanaanza kupunguza mambo ya simcard.
Kama SGR tu inakabiliwa na sekeseke kibao za tumbili na bundi, itakuwaje kwa mfumo huu wa mawasiliano?Mpaka ifike Tanzania hii labda 2030 huko. Makampuni ya simu yatafanya kila jitihada kuzima hili
Ina maana mkuu watatu - mix by YasMpaka ifike Tanzania hii labda 2030 huko. Makampuni ya simu yatafanya kila jitihada kuzima hili
Thanks for clarification nilijua labda naweza kupiga simu kwa data bundle kumbe ni quality ya sauti pekee ila hatua nzuri kwao.VoLTE (Voice over LTE) ni teknolojia inayoruhusu kupiga simu za sauti kupitia mtandao wa 4G LTE badala ya kutumia mtandao wa kawaida wa sauti (2G au 3G). VoLTE inaboresha ubora wa simu za sauti, na kufanya sauti kuwa safi zaidi (HD Voice).
Kwa maana hiyo bado upo ndani ya cell tower na sio satellite
Hilo ni jambo la kawaida hata jamii forum wanadata zako zote boss cha msingi ni utunzi wa Privacy policy nzuri.baada ya miaka 10 asilimia 80 ya watu watakuwa na huduma ya star link, halafu Elon Musk atakuwa na data zao zote, kuanzia rentinal scan kwenye camera, fingerprint, location, internet search hisyory, etc.
Unawaza kikobazi tu. Tupa simu hiyo na nguo vua kavae mamiti maana mzungu kakuletea vyote hivyo. KobaziMzungu akakupe unafuu wewe ?
Sasa Yas na wenzake watapona kweli...?Habari nilizo zipata muda huu ni kwamba. Simu hizi zitakuwa zinakamata internet moja kwa moja kwenye satellite.
Hii ni habari njema sana wanasayansi ni wakombozi wa hii dunia.
=========
SpaceX and T-Mobile have secured a major victory with approval from the U.S. Federal Communications Commission (FCC) to launch its Direct-to-Cell (DTC) service, allowing smartphones to connect directly to Starlink satellites without relying on traditional cell towers.
Despite initial regulatory delays, this approval marks the first time the FCC has greenlit a satellite-terrestrial network partnership in the U.S., a move expected to transform communication in remote and underserved areas.
With T-Mobile as its U.S. partner, SpaceX aims to address the vast connectivity gaps across more than 500,000 square miles of American terrain that remain unreachable by traditional networks due to rugged landscapes and technical limitations. The innovative DTC technology promises to bridge these gaps, ensuring reliable communication even in the most isolated regions.
The FCC’s approval doesn’t just focus on domestic operations; it also sets the stage for SpaceX to expand its service internationally. Starlink’s Direct-to-Cell technology has already established partnerships with major telecom operators in five countries, including Rogers in Canada, One NZ in New Zealand, KDDI in Japan, Optus in Australia, and Salt in Switzerland. These collaborations aim to deliver connectivity to areas typically plagued by dead zones, empowering millions of people with reliable communication.
The satellite-based mobile connectivity requires no specialized hardware, allowing standard smartphones to connect directly to satellites. Early trials demonstrated the ability to support text messaging, with voice calls and data services expected soon. SpaceX envisions speeds exceeding 2Gbps with next-generation satellites, transforming emergency response, disaster relief, and connectivity in remote regions.
Image Credit: Starlink
However, regulatory challenges remain. The FCC deferred decisions on additional satellites and loosening emission limits necessary for real-time voice and video calls, while competitors like AT&T and Verizon voiced concerns over potential interference.
Despite these hurdles, SpaceX is advancing quickly. Over 320 second-generation Starlink satellites are already in orbit, forming the foundation for the DTC network. Beta testing is set to begin soon, marking a significant step toward global connectivity.
SpaceX’s relentless innovation promises to revolutionize communication, closing the digital divide and ensuring seamless coverage in even the most remote locations.
Techloy
Huyu ni Pro Arab yeye na kobaz wanzake wanadai kuna Arabs wana utajiri zaidi ya Ellon.Unawaza kikobazi tu. Tupa simu hiyo na nguo vua kavae mamiti maana mzungu kakuletea vyote hivyo. Kobazi
Uko Sahihi Mkuu, Hakuna Kipya Kwenye Satellite mi pia nimewaza watu hawasomi Kabisa, Kwenye Uzi Wa Poster unasema izo Satellite Phone zitasaidia Maeneo Remote zaidi meaning huhitaji Connectivity to the Satellite kama Una Cellsite(Minara) MingiNimegundu huu uzi unawachangiaji wenye uelewa mdogo kidogo. Watu wenye uelewa karibu.
VolTE Nadhani wanayo Voda na Tigo tu, Na ita support ikiwa una simu inayo support VOLTEThanks for clarification nilijua labda naweza kupiga simu kwa data bundle kumbe ni quality ya sauti pekee ila hatua nzuri kwao.
Kitakacho pelekea Satellite ipendwe sana ni bei za vifurushi. Kuna uwezekano watu wote wakachagua kutumia Satellite kwasababu bei za vifurushi ni ndogo.Uko Sahihi Mkuu, Hakuna Kipya Kwenye Satellite mi pia nimewaza watu hawasomi Kabisa, Kwenye Uzi Wa Poster unasema izo Satellite Phone zitasaidia Maeneo Remote zaidi meaning huhitaji Connectivity to the Satellite kama Una Cellsite(Minara) Mingi
Watu wako excited na Neno Sattelite wanasahu Mfumo huo wa Mawasiliano ni kama Wa ziada kwa eneo ambalo hakuna Mawasiliano ya Vitu kama Minara au Fiber
Issue ya speed sasaKitakacho pelekea Satellite ipendwe sana ni bei za vifurushi. Kuna uwezekano watu wote wakachagua kutumia Satellite kwasababu bei za vifurushi ni ndogo.