INAUZWA Smartwatch kwa bei ya offer

monotheist

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2017
Posts
830
Reaction score
1,449
Tumepunguza bei tunauza piece moja kwa bei ya jumla yaani Tsh 35,000 kwa pc zimebaki pieces chache
(M59 ULTRA SMARTWATCH)
💧Ina mikanda miwili
💧Ina Bluetooth
💧Wireless charger
💧Inapiga na kupokea simu
💧Inapokea notifications za whatsapp, instagram, facebook, tiktok etc
💧Ina creen kubwa 2.19 inch full touch creen
💧Zipo rangi black, grey, pink na orange
📌Call/whatsap 0692402211
📌Tunapatikana lumo, Dar es salaam
📌Tunafanya delivery Dar es salaam na mikoani
KARIBUNI
 
Zipo rangi 4 yaani black, grey, pink na orange
 
Delivery mfano kuna Iringa bei ganii....na zinakaa na chaji muda ganii??
 
Delivery mfano kuna Iringa bei ganii....na zinakaa na chaji muda ganii??
Kuhusu delivery inategemea na bei ya basi husika na ukaaji na charge pia inategemea na matumizi yako mfano kuna ananunua saa halafu anaitumia kama simu kupiga na kupokea simu, kusoma sms za whatsapp, instagram na mitandao mingine ya kijamii hivyo saa inakua bize mno hapo haitakaa muda mrefu
 
Your browser is not able to display this video.
 
Kwani matumizi yake makubwa ni nini ?
 
Nipe faida za kuwa na smart watch maana mimi mgeni wa hivyo vitu huwa nasikia tu.
 
Nipe faida za kuwa na smart watch maana mimi mgeni wa hivyo vitu huwa nasikia tu.
Inafanya kazi kama msaidizi wa smartphone mfano; inahifadhi majina, kupiga na kupokea simu unaweza pata notifications za whatsapp, instagram, facebook, tiktok na sms za kawaida pia unaweza kusevu picha kwa screen ya simu
 
Kuhusu chaji zipo vizuri tu mimi yangu sijaichaji siku ya tatu leo mimi siitumii kama simu naitumia kuangalia muda na health monitoring.
 
Kuhusu chaji zipo vizuri tu mimi yangu sijaichaji siku ya tatu leo mimi siitumii kama simu naitumia kuangalia muda na health monitoring.
Health monitoring kama zipi inaweza kugundua..?
 
Health monitoring kama zipi inaweza kugundua..?
Kuhusu health monitoring nahisi ni kama promo tu ndo maana hata kwenye maelezo sikuandika mimi kwa upande wangu Siamini sana hiyo kitu
 
Kuhusu health monitoring nahisi ni kama promo tu ndo maana hata kwenye maelezo sikuandika mimi kwa upande wangu Siamini sana hiyo kitu
Nakubaliana na wewe mkuu yani ukiangalia idadi ya hatua ulizopiga unaona kabisa sio kweli halafu vile vipimo blood pressure,blood oxygen na heartbeat sidhani kama ni accurate kuna uongo flani hivi ni kama simulation tu haiko real..

Kiukweli mifuko yetu kwa asilimia kubwa hairuhusu kwa apple watch,pixel watch au galaxy watch ni za gharama sana sidhani kama haziwezi kufanya hayo mambo..
 
Inafanya kazi kama msaidizi wa smartphone mfano; inahifadhi majina, kupiga na kupokea simu unaweza pata notifications za whatsapp, instagram, facebook, tiktok na sms za kawaida pia unaweza kusevu picha kwa screen ya simu
Kuna hela naisikilizia nitakuja kuchukua moja InshaAllah ,bahati nzuri mitaa ya huko mwenyeji nimekaa sana Miteda karibu na malawi hospital.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…