SME AIRTEL BURE

Kwasisi tusiokuwa na reseni ya biashara na tin namba zetu sio zakibiashara apo inakuaje.?
 
Kama ni Bure tuelekeze hapa hapa sisi wenye hizo tin tujiunge wenyewe
 
Je kifurushi cha SME kikiisha kabla ya mwezi ninaweza kununua kingine na ikakubalika kama tunavyonunua vifurushi vya kawaida?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…