Mfiaukweli
JF-Expert Member
- Aug 30, 2018
- 5,636
- 8,777
wao ndio wanajua sababu ya kutotaka kuwekeza zaidi,hizi hisia zenu ni ndoto tu.
By the time utakapokuja kufunguliwa ufahamu utakuja kuelewa tunachokielewa wenzio sasa. It may take time; lakini lazima ipo siku utaelewa. Keep being comforted in an ignorant bliss you are currently in.