Wakati naanza kusoma nikajua smile mtandao wa simu kumbe walewale! Sijamaliza kusoma nimerukia kwenye comment.
Hii ni kampuni ya uhakika na ina makazi yake daresalam na pia imesajiliwa na TRA
hii ni kampuni ilosajiliwa tanzania na tra na inamakaz yake daresalama
Kuna akaunti unapewa unafunguliwa na hio akaunti unalipia ndio unapata hayo masomo na kaunti ni sh 23000
Cha kufanya ni kutafuta watu wawili kisha hao watu wawili wanaleta watu wawili wawili kila mmoja hapo utakuwa unaanza kuvuna mamilioni[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sintowasahau Qnet walivyonifanyia pamoja na Goodmorning yao
Mkuu, hawa watu bado wapo wanawapotosha sana watoto wa watu kuwa watakua natajiriHaoana aonyeshe Barua kutoka BOT yawa kupewa ruhusa kufanya huu upatu, BOT wakiwadaka ni hatachomoka, watu wanazani hizi ni enzi za JK
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, hawa watu bado wapo wanawapotosha sana watoto wa watu kuwa watakua natajiri