Smile we care

Smile we care

Cha kufanya ni kutafuta watu wawili kisha hao watu wawili wanaleta watu wawili wawili kila mmoja hapo utakuwa unaanza kuvuna mamilioni😂😂😂😂😂
Sintowasahau Qnet walivyonifanyia pamoja na Goodmorning yao
 
Hii usijalibu mbaweza dakwa wote na mkafunguliwa kesi za utakatishaji pesa, hii sio ya kijalibu nyakati hizi, hii ilikuwa inawezekana enzi za JK,
Cha kufanya ni kutafuta watu wawili kisha hao watu wawili wanaleta watu wawili wawili kila mmoja hapo utakuwa unaanza kuvuna mamilioni[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sintowasahau Qnet walivyonifanyia pamoja na Goodmorning yao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Good morning mtoa mada.
 
Hakuna walimu humu ondokeni,🚶‍♂️🚶‍♂️🚶‍♂️🚶‍♂️🚶‍♂️🚶‍♂️🚶‍♂️🚶‍♂️🚶‍♂️🚶‍♂️🚶‍♂️🚶‍♂️🚶‍♂️🚶‍♂️🚶‍♂️🚶‍♂️🚶‍♂️🚶‍♂️
 
Back
Top Bottom