LadyRed
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 9,636
- 11,483
Hivoo,ladha yake je?Aiseeee we kama unapenda ndizi, chukua tikiti maji changanya na ndizi, parachichi na embe, dah!! Nilitengeneza kitu hicho, ni noma, nzitooooo balaaa, haiitaji sukar wala nini
Naona km tikiti lipo offside hivi