Jamani kama upo kazini si unajibu short and clear kwani kuna ubaya hapo je angekuchunia?
Haaaaaaaaaaa....! Yaani leo nimecheka mpaka mwisho....!
Kaka Fidel usije ukaja Jamvini unalalamika oo shemeji yenu anamegwa na msela mwingine, hivi vitu vidogo ndiyo huwa vinaimarisha mahusiano, kwani ukimjibu vizuri unapoteza nini.
Shauri yako usipomjibu vizuri halafu ikatokea Njemba ikawa inampa Humbly Answers usilalamike tu kwamba mbona siku hizi huni txt mpenzi
Ukisusa wenzio wala
Sms: Sweet, nimekukumbuka sana leo, natamani tungekuwa sote mida hii. Upo wapi mpenzi?
Jibu: Nipo
Sms: Yaani nimekutafuta kweli mpenzi, mbona ulikuwa hupatikani? Mwenzio sijalala nakufikiria wewe my love. Umenimiss?
Jibu: Simu iliisha charge
Sms: Baby leo nakula chakula kitamu kweli. Sijui wewe unakula nini. Natamani tungekuwa wote. Karibu mpenzi
Jibu: Thank you
Sms: Honey, yaani ile perfume uliniletea inanukia vizuri ajabu. Yaani hapa nipo nasikia harufu yake na kukuwaza wewe, tena nakumbuka leo umetoka fresh na ile tshirt nilikununulia. Ukisoma hii sms wewe unapata hisia gani?
Jibu: Tshirt inanibana
utaumia bure nawe tulia kwa kuwa anaweza kukujibu hivyo kumbe anayejibu siyo yeye ni nyumba ndogo au mwenzi wake wa pembeni.
kikubwa unamsubiria akija unamuuliza hivi ni wewe ulikuwa unanijibu zile msg au?ili uweze pata jibu la majibu husika.
Sometime majibu ya kwenye cm yanatupotezea mud ya siku kama hauko makini/
Jamani kama upo kazini si unajibu short and clear kwani kuna ubaya hapo je angekuchunia?
Kaka Fidel usije ukaja Jamvini unalalamika oo shemeji yenu anamegwa na msela mwingine, hivi vitu vidogo ndiyo huwa vinaimarisha mahusiano, kwani ukimjibu vizuri unapoteza nini.
Shauri yako usipomjibu vizuri halafu ikatokea Njemba ikawa inampa Humbly Answers usilalamike tu kwamba mbona siku hizi huni txt mpenzi
Ukisusa wenzio wala
BJ, kwa maoni yangu hapa kuna kutoelewana kwa namna fulani. Si ajabu katika mawasiliano yao ya mwisho hawa wapendanao hali haikuwa shwari kama inavyotakiwa au kuna kitu kingine zaidi ambacho kinamkwaza huyo Njemba. Si vibaya kuuliza mbona unanijibu kimkatomkato? Aulizaye ataka kujua ati! na labda jamaa anaweza kusema sababu ya majibu hayo ya kumtolea nje kipenzi chake hasa kama hana kawaida ya kujibu hivyo.
kuna wasichana wengine ni maumivu!THEY WILL NEVER REPLY U R TEXT.ukimuuliza atakujibu ''....kawaida sinaga ushirikiano na simu yangu...''!
Lol!nilirudisha vikosi mapema sana na kuchange plan!
Sms: Sweet, nimekukumbuka sana leo, natamani tungekuwa sote mida hii. Upo wapi mpenzi?
Jibu: Nipo
Sms: Yaani nimekutafuta kweli mpenzi, mbona ulikuwa hupatikani? Mwenzio sijalala nakufikiria wewe my love. Umenimiss?
Jibu: Simu iliisha charge
Sms: Baby leo nakula chakula kitamu kweli. Sijui wewe unakula nini. Natamani tungekuwa wote. Karibu mpenzi
Jibu: Thank you
Sms: Honey, yaani ile perfume uliniletea inanukia vizuri ajabu. Yaani hapa nipo nasikia harufu yake na kukuwaza wewe, tena nakumbuka leo umetoka fresh na ile tshirt nilikununulia. Ukisoma hii sms wewe unapata hisia gani?
Jibu: Tshirt inanibana
Sms: Sweet, nimekukumbuka sana leo, natamani tungekuwa sote mida hii. Upo wapi mpenzi?
Jibu: OOOh baby nimekumiss pia sana tangu jana π, leo sili nikashiba kwa kukuwaza wewe sabuni yangu ya roho..how i wish tungekuwa pamoja pia.nko ofisini etc ....love u bunny!
Sms: Yaani nimekutafuta kweli mpenzi, mbona ulikuwa hupatikani? Mwenzio sijalala nakufikiria wewe my love. Umenimiss?
Jibu: OOh pole mami, simu yangu nilisahau kuichagi sasa ikaisha moto. i will make it up to you! kisses! mwah!
Sms: Baby leo nakula chakula kitamu kweli. Sijui wewe unakula nini. Natamani tungekuwa wote. Karibu mpenzi
Jibu: ahsante mami, najua ulivyo stadi wa hiyo dpt, i miss your cuisine, najilia mchemsho tu hapa.......enjoy my dear!
Sms: Honey, yaani ile perfume uliniletea inanukia vizuri ajabu. Yaani hapa nipo nasikia harufu yake na kukuwaza wewe, tena nakumbuka leo umetoka fresh na ile tshirt nilikununulia. Ukisoma hii sms wewe unapata hisia gani?
Jibu: switi karibu, am glad unaipenda hiyo perfume, my gal has got to smell sweet... t-shirt bomba kila mtu anaulizia basi naringa kusema imetoka kwa my heartthrob! ahsante sana mami.
Haya habari ndo hiyo!!!π
Sms: Sweet, nimekukumbuka sana leo, natamani tungekuwa sote mida hii. Upo wapi mpenzi?
Sms: Yaani nimekutafuta kweli mpenzi, mbona ulikuwa hupatikani? Mwenzio sijalala nakufikiria wewe my love. Umenimiss?
Sms: Baby leo nakula chakula kitamu kweli. Sijui wewe unakula nini. Natamani tungekuwa wote. Karibu mpenzi
Sms: Honey, yaani ile perfume uliniletea inanukia vizuri ajabu. Yaani hapa nipo nasikia harufu yake na kukuwaza wewe, tena nakumbuka leo umetoka fresh na ile tshirt nilikununulia. Ukisoma hii sms wewe unapata hisia gani?
Jamani kwani kiinglish ndio kitamfanya huyo mdada afurahi? kwanini usitoe majibu matamu lakini ya kiswahili?Hapo vipi Beli, ungesuuzika?
...Ukiona sms zimekuwa 'tamu tamu', ujue unapimwa joto... si ajabu sms itayofuatia itakuwa, "sasa mpenzi vipi ile hela uliyoniahidi siku ile?"
kama si hivyo, ujue kuna 'uovu' kafanya, anauficha kwenye kivuli cha '...sili silali nakuwaza wewe!'
...muda wa ku sms namna hiyo mnautoa wapi?
ukiona mtu anakujibu hivi hataki kuwasiliana na wewe, hata mimi kama sitaki kuwasiliana na na mtu namjibu short hadi mwenyewe anaacha
huyo sio shori.....Nimeipenda hiyo Joyceline...Lol