Ibnabdillahi
Member
- Oct 31, 2010
- 39
- 0
Watu wakutoka nyanda za juu niwapumbavu wa akili,je vip mtu aitwe Dr. Then busara akanyimwe,je utamuita msomi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Twendeni polepole tunaandamana kwa sababu ipi......na maandamano ya amani ya kushinikiza nini?
Chadema wanatakiwa watoe takwimu za kututhibitishia kwanza ni nani kashinda chaguzi hizi kabla ya kuandamana......vinginevyo tunaandamana kwa sababu zipi?
sometime ninapoona yanayoendelea kwa sababu ya NEC ya ccm najikuta machozi yakinitoka ila lazima tu control temper and emotion kama mnataka tufike maana ni Tz wenzetu wenye haki kikatiba kama sisi ila wao wameshika mpini na wanautumia bila kujari.message hiyo ni ya kichochezi na haitofautiani na za akina shamte au yoyote ile tuliyokua tunailaani
watanzania tutambue kuwa utu wetu ni zaidi ya momentarily emotions zinazozunguka vichwani mwetu.... miaka mitano si mingi na kwa subira ushindi waweza patikana
nashauri tuache upuuzi huo, tujiunge wote wapinzani na wapenda maendeleo ya nchi
binafsi jumapili ntajiunga rasmi kujiandaa na 2015... sihitaji kupoteza ndugu, rafiki, mke, au watoto wangu kwasababu inayoweza kusubiri
damusi bei rahisi kama inavyotamkwa, ukifa hurudi tena lakini ukisubiri utaona kesho
time heals
adanganywe atoke m2,hapo mtajuwa kweli ffu wapo ajili yawakorofi kama nyie,mcdhani hapa ni kenya,ila mjue vyombo vya dola vimejipanga,mpinzani akiona kashindwa hujitweka uwana mapinduzi,muambieni slaa afanye mapinduzi kwake nyumbani the karatu,sio kukimbilia madaraka akadhani tunataka tawaliwa na kanisa,nyepesi nikuwa kampeni za chadema zinadhaminiwa na kanisa la america,tena la mahanith and roma,vip tz itawaliwe na mfwasi wa mahanithi
silly message... speaking as if you dont care about your country and relativesAdanganywe atoke m2,hapo mtajuwa kweli FFU wapo ajili yawakorofi kama nyie,mcdhani hapa ni Kenya,ila mjue vyombo vya dola vimejipanga,mpinzani akiona kashindwa hujitweka uwana mapinduzi,muambieni SLAA Afanye mapinduzi kwake nyumbani the Karatu,sio kukimbilia madaraka akadhani tunataka tawaliwa na KANISA,Nyepesi nikuwa kampeni za CHADEMA Zinadhaminiwa na Kanisa la America,tena la mahanith and Roma,vip Tz itawaliwe na mfwasi wa mahanithi
sometime ninapoona yanayoendelea kwa sababu ya NEC ya ccm najikuta machozi yakinitoka ila lazima tu control temper and emotion kama mnataka tufike maana ni Tz wenzetu wenye haki kikatiba kama sisi ila wao wameshika mpini na wanautumia bila kujari.
I'm sure we're wise citizens than their pupets. Our strugle has strong reasons but local citizens we are strugling for are they real ready if they even don't bother to vote? My concer now is for my fellow members who use their resources especially Dr Slaa for tzs. Ninachosema ukweli wanao na historia itawahukumu
message hiyo ni ya kichochezi na haitofautiani na za akina shamte au yoyote ile tuliyokua tunailaani
watanzania tutambue kuwa utu wetu ni zaidi ya momentarily emotions zinazozunguka vichwani mwetu.... miaka mitano si mingi na kwa subira ushindi waweza patikana
nashauri tuache upuuzi huo, tujiunge wote wapinzani na wapenda maendeleo ya nchi
binafsi jumapili ntajiunga rasmi kujiandaa na 2015... sihitaji kupoteza ndugu, rafiki, mke, au watoto wangu kwasababu inayoweza kusubiri
damusi bei rahisi kama inavyotamkwa, ukifa hurudi tena lakini ukisubiri utaona kesho
time heals
message hiyo ni ya kichochezi na haitofautiani na za akina shamte au yoyote ile tuliyokua tunailaani
watanzania tutambue kuwa utu wetu ni zaidi ya momentarily emotions zinazozunguka vichwani mwetu.... miaka mitano si mingi na kwa subira ushindi waweza patikana
nashauri tuache upuuzi huo, tujiunge wote wapinzani na wapenda maendeleo ya nchi
binafsi jumapili ntajiunga rasmi kujiandaa na 2015... sihitaji kupoteza ndugu, rafiki, mke, au watoto wangu kwasababu inayoweza kusubiri
damusi bei rahisi kama inavyotamkwa, ukifa hurudi tena lakini ukisubiri utaona kesho
time heals
message hiyo ni ya kichochezi na haitofautiani na za akina shamte au yoyote ile tuliyokua tunailaani
watanzania tutambue kuwa utu wetu ni zaidi ya momentarily emotions zinazozunguka vichwani mwetu.... miaka mitano si mingi na kwa subira ushindi waweza patikana
nashauri tuache upuuzi huo, tujiunge wote wapinzani na wapenda maendeleo ya nchi
binafsi jumapili ntajiunga rasmi kujiandaa na 2015... sihitaji kupoteza ndugu, rafiki, mke, au watoto wangu kwasababu inayoweza kusubiri
damusi bei rahisi kama inavyotamkwa, ukifa hurudi tena lakini ukisubiri utaona kesho
time heals
andamaneni dawa yenu ni virungu,maji ya kuwasha na yale ya machozi si mnayajua kura mmeshindwa kupiga halafu mnataka mapinduzi nyie vipi
message hiyo ni ya kichochezi na haitofautiani na za akina shamte au yoyote ile tuliyokua tunailaani
watanzania tutambue kuwa utu wetu ni zaidi ya momentarily emotions zinazozunguka vichwani mwetu.... miaka mitano si mingi na kwa subira ushindi waweza patikana
nashauri tuache upuuzi huo, tujiunge wote wapinzani na wapenda maendeleo ya nchi
binafsi jumapili ntajiunga rasmi kujiandaa na 2015... sihitaji kupoteza ndugu, rafiki, mke, au watoto wangu kwasababu inayoweza kusubiri
damusi bei rahisi kama inavyotamkwa, ukifa hurudi tena lakini ukisubiri utaona kesho
time heals
mkuu nielewe kidogo tu
1995 - hatukua hata na avenue za kujua kieneleacho, nakumbuka ya mrema na dar, tulirudia uchaguzi wote mkoa huu wa dar
2000 - tulianza kugundua hayo lakini sauti haikua kubwa
2005 - walicheza mapema na kila kitu kikawa offside
2010 - tunayajua haya kwani hata walio ndani ya CCM hawapendezwi
2015 - kila sehemu itakua imefikiwa, lazima ukubali coverage ya chadema haikuzidi 50% na hata huko ukerewe waliposhinda ni nguvu ya upepo wa mwanza na hulka ya watani zangu
upepo huu ni mkubwa sana na hauzimiki tena, CCM wanajua na utasiki 2012 watavyosambaratika... na ili kutumia opportunity hiyo basi cha maana ni kutulia
kumbuka ukiandamana wewe, wataokufa ni wanawake na watoto, na wana haki ya kuishi
siungi mkono jitihada zote za kuvunja amani kwani naamini with or without siasa tanzania ipo
message hiyo ni ya kichochezi na haitofautiani na za akina shamte au yoyote ile tuliyokua tunailaani
watanzania tutambue kuwa utu wetu ni zaidi ya momentarily emotions zinazozunguka vichwani mwetu.... miaka mitano si mingi na kwa subira ushindi waweza patikana
nashauri tuache upuuzi huo, tujiunge wote wapinzani na wapenda maendeleo ya nchi
binafsi jumapili ntajiunga rasmi kujiandaa na 2015... sihitaji kupoteza ndugu, rafiki, mke, au watoto wangu kwasababu inayoweza kusubiri
damusi bei rahisi kama inavyotamkwa, ukifa hurudi tena lakini ukisubiri utaona kesho
time heals