OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Wakuu hawa wadogo zetu wanakoelekea sio kuzuri.Inahitajika busara za ziada kuwarudisha kwenye mstari.
Hii ni sms ya mdogo wangu wa kike miaka 19 akiniomba msamaha baada ya kurudi akiwa pombe mbaya siku ya Pasaka
"caca naomba unixamehe,nimecoxa ctarudya tena maxoca yangu bro.am xory,ni koxa la kwanza"
Hii ni sms ya mdogo wangu wa kike miaka 19 akiniomba msamaha baada ya kurudi akiwa pombe mbaya siku ya Pasaka
"caca naomba unixamehe,nimecoxa ctarudya tena maxoca yangu bro.am xory,ni koxa la kwanza"