Hii ni hujuma kubwa sana kwa lugha zetu, hasa ile ya kiswahili ambayo imeathirika zaidi na matumizi haya mabovu ya herufi! Potelea mbali, mkuu kazi unayo kwa huyo mdogo wako, kwanza unapaswa umfundishe juu ya matumizi ya lugha sahihi, atofautishe maneno anayoweza kutumia kuongea na wewe na ama rafiki yake, mdogo wake na kadhalika, kwa kiigereza wanaiita "stylistics"! Lakini pia umkanye juu ya mienendo yake mibaya kimaadili, hasa katika kipindi chake hiki cha kupevuka kiitwacho "foolish age" wakati mwingine! Ni chungu kutamka, ila ni ukweli, muonye pia dada yetu huyu, inaonekana wazi ameshawajua mabwana!!!!???? Ni hayo tu mkuu.