Sneak Peek: Anna Mkapa na EPA

lol this is so funny. lets be serious, hili lijimama jizi linakinga? na kama anakinga dah iyo nikali...

Kwa nini wezi wawe na kinga bana? Mimi I don't get it. If I had my way, kungekuwa na nidhamu serikalini, I swear.
 

Safi sana kama hili lina ukweli. Mafisadi Mr & Mrs Mkapa wataendelea kujificha lakini Watanzania tumewakalia kooni kuhusu ufisadi waliofanya dhidi ya nchi yetu. Hakuna pakutokea safari hii mpaka kieleweke.
 
Kwa nini wezi wawe na kinga bana? Mimi I don't get it. If I had my way, kungekuwa na nidhamu serikalini, I swear.

Hakuna kinga dhidi ya fisadi Mkapa wanasheria wameshafafanua katiba kwamba haimkingi kwa mambo aliyoyafanya kama Mkapa, lakini kinachofanyika hapa ni mafisadi wa CCM kufanya kila njia kumkingia kifua fisadi mwenzao maana wanajua akiumbuliwa hadharani basi ndiyo mwisho wa uhai wa Chama Cha Mafisadi.
 

Mkapa aumbuliwe tu wala isiwe shida. Kwani CCM ikifa ndiyo mwisho wa Tanzania?. Kamata Mkapa sweka ndani, na nyanga'anya mali zetu zote.
 
Huyu Mama familia yao yote iko hivyo kuna mama anaitwa Halima alikuwa mkuu wa wilaya ya geita alibadili dini kwasababu ya mume ni mdogo wake na huyu ANNA Mkapa aliiba pesa nyingi za wanachi kipind cha kusaminisha mashamba ya wanakijiji alikuwa anashirikiana na afisa aridhi.Mambo yaklipokuwa hadharani shemeji yake akamhamisha wilaya mara akapewa cheo cha kuwakilisha wanawake nje ya nchi cjui sasa yuko wapui
 
Nyani Ngabu,
Maneno yako safi sana na kila mtu anaomba ingekuwa hivyo lakini sio Afrika mkuu wangu..Mugabe huyo hapo yaani natamani niwe Carlos yule - The Assassin lakini ndio sikuumbwa na roho hiyo..Angalia jinsi viongozi na sheria zetu zilivyomwekea kifua...
Ndio Reality yenyewe, inauma sana lakini ndio tufanyeje!...Kikwete kisha sema tumwache mzee wa watu, sasa sijui kama kuna sheria yoyote ya nchi ya Wadanganyika inayoweza kupingana na kauli ya Rais!..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…