Nadhani Kelvin naye alikosea kumpiga Maria
Guys kama kitu hakiwahusu ni vema mkae kimya, mnaharibu nyuzi kwa masihara yaliyopitilizaLulu pia alikosea kumsukuma kanumba
kwenye ili tambara kuna leah, Nikki na Angella na linaitwajeView attachment 3075867
Teddy alimuibia Franklin pesa zote kwenye account Dola milioni 73 bila kuacha senti...
Itakua ni mashahidi kwenye ile kesi inayo vuma huko Yombo na afande...🤨Ni akina nani hao huko Daslam?
Hii nchi imekuwa na mambo mengi usipoingia mtandao siku moja unapitwa na mambo mia mbili.