Kisu Cha Ngariba
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 22,135
- 48,827
Wanawake bila ya kurusharusha matako hawaridhiki kabisa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SNURA: Chochote ukiamua utaweza hata mm nikiamua naweza tena sana bado tu sijaamua.....
Kwanza haya yalikua ni mazoezi tu,,,,,,unajua uswahilini kwetu siku hizi shughuli bila kibao kata hainogi tunakipenda mno na ili shughuli ikamilike lazima kiwepo......kwakua mimi ni msanii ninae fanya mziki wa uswahili nakuwakilisha vitaa vyote vya kiswazi nikaona show yangu niichanganye kidogo na kibaokata ili tuenjoy zaidi imeranduka........USWAZ RAHA
SNURA: Chochote ukiamua utaweza hata mm nikiamua naweza tena sana bado tu sijaamua.....
Kwanza haya yalikua ni mazoezi tu,,,,,,unajua uswahilini kwetu siku hizi shughuli bila kibao kata hainogi tunakipenda mno na ili shughuli ikamilike lazima kiwepo......kwakua mimi ni msanii ninae fanya mziki wa uswahili nakuwakilisha vitaa vyote vya kiswazi nikaona show yangu niichanganye kidogo na kibaokata ili tuenjoy zaidi imeranduka........USWAZ RAHA
Hata sielewi hawa basata wanaagenda gani na huyu mwanamke? Kwa nini wanamwachia afanye anavyotaka yeye? Huu ni mmomonyoko wa maadili hasa kwa watoto wetubasata wanajisahau sana
kama mzoga wa paka, au kama unakatisha sewa buguruniI can imagine the stinking situation hapo.
Sasa mbona hawamueki ndaniwanaume waliosex na snura wanadai ni mtamu kinoma kitandani inasemekana full kukata mauno na mautundu ya nguvu na hapendi uwahi kupiga bao nomaaa ni habari ya kweli kabisa nilivyoambiwa hivyo namtamani japo nimuonje tu
Wanaponda hapa ili kutufarijisha kwamba wanazingatia maadili wakizunguka tu wanahonga nyumba na kila kitu kuwapata haoSema wanaume nyie ni wanafiki sana mnajitia kukemea wakati nyie ndo walengwa wakuu.. Hivi mnahis wanawalenga wanawake wenzao?? Mkikemea kwa kumaanisha bas wataacha maana watakosa soko
Ni wanafiki sana ndo maana mm nawachora tu wanavojishaua kukemeaWanaponda hapa ili kutufarijisha kwamba wanazingatia maadili wakizunguka tu wanahonga nyumba na kila kitu kuwapata hao
Yaani nafanya kupitia comment zao na misonyo nacheeeeeeeka kwa dharauNi wanafiki sana ndo maana mm nawachora tu wanavojishaua kukemea
BASATA wa nini wewe?!, acheni watu tufaidi vitu adimu..basata wanajisahau sana