Snura aja juu baada ya kufungiwa kwa video yake

Snura aja juu baada ya kufungiwa kwa video yake

Money Stunna

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2011
Posts
13,053
Reaction score
6,304
“Ni video ya kawaida kabisa na nimeicheza mwenyewe na wacheza shoo wangu.Nilifanya hivyo baada ya video yangu ya ‘Majanga’ kulalamikiwa kuwa
sikucheza.
Imeniuma sana video ya "Nimevurugwa" kufungiwa na BASATA kuonyeshwa kwenye TV bongo wakati kama kukatika ni tamaduni yetu watanzania kuna video kibao za nje za ovyo kabisa wanavaa nusu uchi ila azifungiwi"
 
Kuna kukatika na kurusha mata.ko
huyu snura hakatiki anarusha tu mata.ko bora ilivofungiwa.
hayo makalio wayarushe rushe ndani kwao
 
Tatizo sio kukatika tatizo style ya kukatika aliyokatika ni ya kichumbani zaidi
 
Tatizo sio kukatika tatizo style ya kukatika aliyokatika ni ya kichumbani zaidi

Video yenyewe inaitwa nimevurugwa unategemea nini.

Wakat wanashoot hiyo video kuna kijana alikuwa pemben alinaswa na kamera akijichua
 
hehehe....what is the difference bibie Evelyn Salt

Bila shaka ushaona videos za ray c ye anakatika,
ila huyu majanga, shilole, mziki wa offside trick bata, na wa shaa sugua gaga wanarusha makalio
wanacheza styles za chumbani yani kama umekaa na mtu unaona Ainu.
 
Bila shaka ushaona videos za ray c ye anakatika,
ila huyu majanga, shilole, mziki wa offside trick bata, na wa shaa sugua gaga wanarusha makalio
wanacheza styles za chumbani yani kama umekaa na mtu unaona Ainu.

ninyi magwiji hamwafundishi kukatika unategemea nini...wanaanza kuchuliwa kwa style hizo hizo za kurusha ma.t.ako na wanadhani ndiyo kukatika
 
“Ni video ya kawaida kabisa na nimeicheza mwenyewe na wacheza shoo wangu.Nilifanya hivyo baada ya video yangu ya ‘Majanga’ kulalamikiwa kuwa
sikucheza.
Imeniuma sana video ya "Nimevurugwa" kufungiwa na BASATA kuonyeshwa kwenye TV bongo wakati kama kukatika ni tamaduni yetu watanzania kuna video kibao za nje za ovyo kabisa wanavaa nusu uchi ila azifungiwi"

Pu.mbavu zake kabisa, na wele watoto wa shule walioonekana katika shooting ni wacheza shoo wake.? Tena mostly ya wale watoto itakuwa ni under 18, na kawachukua ukute wazazi wao hawafahamu kama watoto wamekwenda katika kushoot huo upumbavu, tena usikute kawatorosha shule muda wa vipindi kwenda kuchukua shooting. Yaani kama mimi ningekuwa mzazi na mtoto nimemuona katika ile shooting ningedeal naye perpendiculary ( maana parallel tusingekutana). Shenzi zake kabisa.
 
Jaman mwenye hzo video mbili majanga na nimevurugwa anitumie whatsapp kwa hii namba 0788114943 cjawahi kuziona
 
Remy Ongala R.I.P aliimba mambo kwako soksi na akafungiwa, sishangai snura kufungiwa,after all makalio yake ni makubwa halafu mbendembende na vile anavyoyatikisa full majanga
 
Back
Top Bottom