Snura:siwezi kuwavulia chupi wadogo zangu

brigedia mafia

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2016
Posts
2,260
Reaction score
2,279
Msanii wa maigizo na mziki Snura Mushi amedai kuwa katika maisha yake kamwe hawezi kutoka na mwanaume aliye mzidi umri hata siku moja kama wasanii wenzake wa kike wanavyofanya




Snura ameelezea pia tukio la kukiss na rayvan katika video ya natafuta kiki akisema kuwa ile ilikuwa ni kazi na script ndio iliyomtaka afanye vile




Snura alienda mbali zaidi kwa kusema kuwa hata kama angeambiwa amkiss mtoto wake wa kiume angeweza kufanya hivyo kwa kuwa muda huo anakuwa yupo kazini



Snura pia ametolea ufafanuzi kuhusu shutuma zinazo mkabili kuwa Rayvann ndiye mwanaume anayemnyima usingizi kuwa shutuma au madai hayo ni batili na anaye sambaza taarifa hivyo kamwe hamuumizi kichwa kwa kuwa rayvan ni mdogo mno kwake kwa hiyo suala la kumvulia chupi halitawezekana hata siku moja










 
Hiyo ni Siri yake lile tendo mara nyingi halinaga Ushahidi.
 
Na waraka aliandikaga kua kuna msanii anampenda sana wa bongo flavour mdogo ila anampenda sana na hawez jizuia alisema mwanzo alikua anashangaa watu wanavyotembea na watu waliowazidi umri....mapenzi hayana wenyewe snura usitukane mamba kabla hujavuka mto [emoji108][emoji108]aibu mtu mzima sasa hv
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…