So BRT has gone for this ugly buses from Nairobi

So BRT has gone for this ugly buses from Nairobi

hahaha una roho za kichawi sana aisee😀😀😀

This is not a BRT bus. This is an ordinary high capacity bus by City Shuttle. The BRT buses are yet to come in. However I am disappointed Tanzania is importing buses from Kenya while Kenya is importing buses from SA. Doesn't make sense at all.

Here are more of the City Shuttle high capacity buses.
city3.jpg
images
city2.jpg
 
Hizo basi za enzi za ukombozi wa afrika Leo Kenya ndio wanaona ni fasheni mpya!?

Hahaaaaa middle economy power!!
SGR mchina kawajengea ya miaka 50 iliopita na bus pia ni zile zimetumika 70s😀😀😀😀😀
failed state😛😛😛
 
naona hapa ni makosa ya transport minister james macharia...ndiye aliyeleta ile idea ya kupaka thika road rangi ya lipstick na kuandika only BRT...hahahaha huyu jamaa ni useless sana aisee
hehehe alipoteza pesa za wakenya kuchora maandishi ya only BRT alijua BRT ni kama kula bajia😀😀
 
hakuna hata mtanzania mmoja anafaa kuingilia Kenya hapa... hii mada wanaofaa kuiongelea ni wakenya pekee!

Watanzania mna import BRT kutoka Kenya, Kabla hapo, mli import kutoka China, hakuna gazeti lenu hata moja ambalo liliongelea vile chini ya JPM, Tz ya 'viwanda' ilikosa oportunity ya kuunda hizo BRT ndani ya Tz.....

Sasa unakuja kuingilia BRT inayotengenezwa Kenya wakati tanzania haina hata kiwanda cha kutengeneza gari za kawaida ....
Umekula ugali gani leo? inasikitisha sana kuona Kenyans mnajua USA wamekula nini for lunch lakini hamjuwi Tanzania kuna nini. Kwani hamnunuwi tour vans kutokana Tanzania???
 
Hata hivyo... Hawa jamaa sijui walirogwa na nani... hivi ndo walifanya na ile ferry. Uganda ilinunua ferry tatu zilizotengezwa na SECO pale Mombasa. Alafu Kenya ikanunua ferry kutoka Spain. .. WTF! Hakuna nchi 'developed' ilifika huko kwa kuto tumia bidhaa zake mwenyewe...
😀😀😀😀😀nimecheka sana aisee
 
Umekula ugali gani leo? inasikitisha sana kuona Kenyans mnajua USA wamekula nini for lunch lakini hamjuwi Tanzania kuna nini. Kwani hamnunuei tour vans kutokana Tanzania???

Toa uboya hapa. Tangu lini Kenya ikanunua tour vans kutoka Tanzania?
 
Sasa ni Kenya tour operators wamesema ama ni wewe? Wabongo mnafikirianga kama ng'ombe saa zingine.
Kazi kwako Ku-research ili kupata ukweli, kama ukipata majibu tofauti yatumie hayo majibu kunipinga.
 
Sasa ni Kenya tour operators wamesema ama ni wewe? Wabongo mnafikirianga kama ng'ombe saa zingine.
jamaa anazungumza ni kama aliongea na tour operators wote wa Kenya au ndiye spokesman wa kenya tour operators😀😀😀...hawa jamaa ni wavivu wa kufanya research
 
This is not a BRT bus. This is an ordinary high capacity bus by City Shuttle. The BRT buses are yet to come in. However I am disappointed Tanzania is importing buses from Kenya while Kenya is importing buses from SA. Doesn't make sense at all.

Here are more of the City Shuttle high capacity buses.
city3.jpg
images
city2.jpg
wah! I hope those are not the buses being procured...they are a little ugly...are those ones the ones being assembled here in Kenya?

hata isuzu si mbaya pia haswa wakichukua model hii hapa inayotumika Romania...watz mwache kulalamika kisa wananunua Kenya
isuzu%20(1).jpg
...
ni heri kuliko kutoa mbali SA au China
 
jamaa anazungumza ni kama aliongea na tour operators wote wa Kenya au ndiye spokesman wa kenya tour operators😀😀😀...hawa jamaa ni wavivu wa kufanya research
Jamaa anakuja na statement haimake sense ukimuuliza aprove anakwambia nenda katafute proof. Yaani unaongea tu ujinga bila kupiga research.😀😀😀
 
Next time post factual things. Avoid fishing gibberish from your ass and posting it here.
Kwanini wakenya mnakuwa wavivu hivi?, you can't do the simplest of simplest research to satisfy with the facts before opposing something you don't know.
 
Wakinunua mabasi RSA, hawatakosa cha juu. Hot bed for looters.

Cha juu ni kawaida kwenye nchi hizi hata ukifanya assembling nyumbani, nimekua kwenye consultancy kwenye miradi ya hizi serikali za EAC na huwa hamna jinsi ya kukwepa cha juu. Kwanza makampuni ya kutoka nje ndio huwa vigumu kutoa hiyo 10%, lakini ya ndani hukimbilia kutoa hata kama hawajaombwa.

Hata hivyo nimesikitika sana kuona viongozi wetu wanaofikiria kwa kutumia ubongo ulioganda, wanaagiza mabasi SA, yaani big four tutafanikisha vipi kama tutaendeshwa kwa pumba.
 
Hii nishaiwasilisha kunakohusika! will be shocked to hear of cancellation for this tender soon
Do we actually care??? its your own insecurities that will cause someone to campaign against a Kenyan CEO working in Tz or A private company from buying Kenyan assempled BRT just so he can look good on JF!

BTW hio bus imeonyeshwa hapo juu ni ya ashock leyland (which is also asseblied localy in kenya) Bus ambazo UDART ime order ni za ISUZU kenya, Ziko aina mbili
... Yani Kenya haina BRT lakini tayari inatengeneza high capacity bus... Alafu jamaa wanajiita 'Tanzania ya viwanada' wana order kutoka Kenya..nchi ambayo hata haina BRT



city-shuttle.jpg
1056984.png
 

Attachments

Back
Top Bottom