so scared

nnaposema sipo tayari kumpoteza i mean nampenda sana na kumuacha sio rahisi kwanza tumefikia hatua nzuri tu sasa na nikimuacha itabidi nianze upya kutafuta mwingine na wanaume wenyewe hamueleweki then malazi mengi[


ndo maana nilipata logic ya wewe kuwa mkali ulipoambiwa kwamba usifanye ngono nje ya ndoa..Unadhani hiyo ndo silaha ya kumfanya b/f wako asikuache..

Any way,sitaki kukuhukumu, kwa sababu ukweli wa mambo unaujua mwenyewe..inawezekana huo mchezo wenu mnaufanya kwa style (nyingine hata za kufa mtu) ili mradi tu umridhishe ili akuoe..
nadhani huko kutoka damu kunaweza kuwa na maelezo mengi zaidi kuhusiana na mchezo wenu

Nani kakwambia kuwa wanaume hawaeleweki??
Unaweza ukafikiri huyo jamaa yako anaeleweka sasa hivi, lakini huwezi kujua huko mbele ya safari kitatokea nini??
 
nenda kamuone doctor mpendwa wangu,wakati mwingine hali kama hiyo usababishwa na kansa ya kizazi kutokana na maelezo ya baadhi ya madoctor.
 
We bikira unayo? Au umbeya tu. Muache mwnzio, shndwa ulegee
 


kwanini ukutokee kwa b/F wa sasa? Au labda uume wake mkubwa sana?
 

We ulingoja kuolewa? unashauri kitu ambacho hata wewe hukukifanya, we wapi? unadhani angengoja mpaka ndoa tatizo hilo angelijua saa ngapi?
umefanya vizuri mwaya, jaribu kujibu maswali ulioulizwa na Michelle then JF itakupa ushauri hakishindikani kitu hapa
 
waone wataalamu husika watakusaidia.
 
Vip shost umeenda hospital?ka umeenda ungetoa maelezo uloambiwa na doctor ili wengne wajue ni nn na wafanyeje?hyo itasaidia hata mwingne akiwa na tatizo ka lako tunamdirect kwenye thread hii!pole mama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…