so scared

cathreen

Member
Joined
Apr 23, 2011
Posts
28
Reaction score
1
helows, naombeni ushauri wenu, mimi nina bf ambaye soon atakuwa mume wangu lakini tatizo ni kwamba kila tukikutana faragha kufanya tendo la ndoa akichomoa tu lazima ntokwe na damu ukeni sijui tatizo ni nini, ila kabla yake nilikua na mahusiano na kijana mwingine lakini hiyo hali haikuwahi kunitokea sasa sijui tatizo ninini naombeni ushauri wenu.
 
Haiwezekani kuwa ana maumbile makubwa sana? Kama ni hivyo mjaribu akuandae muda mrefu kabla ya kudumbukiza ududu au mtumie vilainishi, Kama si ukubwa basi nenda Hospitali watakusaidia mpendwa, pole sana
 
Mapenzi katika umri mdogo, halafu jana nilikushauri hukuisoma? au ni translate?
 
We mtoto mbona hujanipa namba nimkalipie anakuumiza bure
 
mbona jana ulishauriwa vyema?au hukusoma post za jana?
 
Usikute hamna damu wala nini! we hakikisha miguu umeweka sawasawa kama bado inabana tumia ky kama bado jamaa yako ana matatizo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…