Vijana wanapenda kula kimasikhara bwana....alafu mbona kuna miradi ya msingi ya kupeleka fikra na hela than hizi za ngoma.Kumekuwepo kwa social media platforms na Apps za kueneza ngono hasa kwa vijana Badoo, nairobiraha, insta, Grindr je Kuna jitihada zote za kupunguza Maambukiz kwa vijana. Maana vijana wanaloweka bila kinga. Na Kampeni za Kujikinga na UKIMWI zimesahaulika kabisa. Tunaandaa taifa la waathirika miaka 10 ijayo
View attachment 2192801
Sio gogo juu ya mjusi?Hii inaitwa mjusi juu ya gogo
Hiyo App ya G Ni balaa masela wanapasuliwa mpaka aibuKumekuwepo kwa social media platforms na Apps za kueneza ngono hasa kwa vijana Badoo, nairobiraha, insta, Grindr je Kuna jitihada zote za kupunguza Maambukiz kwa vijana. Maana vijana wanaloweka bila kinga. Na Kampeni za Kujikinga na UKIMWI zimesahaulika kabisa. Tunaandaa taifa la waathirika miaka 10 ijayo
View attachment 2192801
Ugonjwa upo wa kutoshaKirefu chake hakitishi '"Upungufu wa Kinga Mwilini" Kifupi chake ndy kinatisha watu sasa UKIMWI......
Tukumbushane tu, jmn Ugonjwa upoooo, na dawa zipooooo.
Pima ondoka gizani, vyovyote vile maisha lazima yaendeleee tu.
Upoooo bhn, sema watu tunapuuzia sana mambo.Ugonjwa upo wa kutosha
Mmmmhhh... Acha tu, ubaya alionao asionao wote wapo sawaaa....Vijana wa Chuo wanapakuliwa Kwa Pizza pale KFC