Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,752
- 7,861
...mnh, Mwenzenu 'mshamba!'
Hizi social networking mbona ni kasheshe wajameni!...Facebook, Hi5, Twitter sijui Bebo nk...
Utakuta wanoalalama kwanini 'rafiki' anataka kum- add tena baada ya kum- delete!
Wengine unakuta status zao 'married', ...within days anabadilisha unakuta 'separated'...mara -'complicated relationship'...
Ni kweli tumefikia kuweka maisha yetu hadharani kiasi hiki, au ndio speed za maisha zinapitiliza IQ zetu?
Heri yetu wa miaka ya 47 na zile autograph... Ukishapewa u saini, unabandika kapicha ka Bruce lee, James Bond au Jackson 5,...unaandika uyapendayo kisha unamrudishia mwenye buku, ...akiliacha liingie vumbi au liliwe na panya shauri yake... sio miaka hii mambo yanasomwa hadharani kuanzia Tokyo mpaka Miami!
au ndio maendeleo yenyewe haya?
Mtu akiku delete hadharani, au 'mchuchu wako' akikupiga kibuti hadharani namna hii utamuelewaje?
Hizi social networking mbona ni kasheshe wajameni!...Facebook, Hi5, Twitter sijui Bebo nk...
Utakuta wanoalalama kwanini 'rafiki' anataka kum- add tena baada ya kum- delete!
Wengine unakuta status zao 'married', ...within days anabadilisha unakuta 'separated'...mara -'complicated relationship'...
Ni kweli tumefikia kuweka maisha yetu hadharani kiasi hiki, au ndio speed za maisha zinapitiliza IQ zetu?
Heri yetu wa miaka ya 47 na zile autograph... Ukishapewa u saini, unabandika kapicha ka Bruce lee, James Bond au Jackson 5,...unaandika uyapendayo kisha unamrudishia mwenye buku, ...akiliacha liingie vumbi au liliwe na panya shauri yake... sio miaka hii mambo yanasomwa hadharani kuanzia Tokyo mpaka Miami!
au ndio maendeleo yenyewe haya?
Mtu akiku delete hadharani, au 'mchuchu wako' akikupiga kibuti hadharani namna hii utamuelewaje?