Socialphobia, anxiety, depression, panic attack inaniua taratibu! Msaada

Jambo jema ukitoa ulichonacho hapa, same nipo katika kundi hili but kwa mbali sana
Sent using Jamii Forums mobile app
 
mkuu hiki kitabu hakiko practical zaidi niaelezo tu ya theory lakini hakionyoshi jinsi ya kuapply hiyo theory katika maisha ya kila siku
 
Pole sana,
Zingatia ushauri wenye kufaa!

Hilo ni pito tu la bonde la uvuli wa mauti lakini Bwana yuko pamoja nawe!
Gongo lake na fimbo lake vikufariji!

Hujaona usiku umesonga sana na giza nene fahamu kuwa asubuhi yako yako iko karibu yako sana!

Nenda kwenye maombi ukamtwike Yesu fadhaa zako zote nawe utakuwa huru na kuishi maisha Marefu na kuifikia hatima yako Kuu na njema alokuwekea Mungu!
 
Kuna watu wako na hali ngumu kuliko yako na hawafika pa kukata tamaa, bado wanatumaini la kutoka hapo kwa rehema za Mwenyezi Mungu!

Giza lizipo pambazuko li karibu
 
Yaani ungeenda kutembelea wagonjwa mahututi walioko mawodini na ICU ungetoka ukimshukuru Mungu sana kumbe wewe hauna tatizo kabisa yani ungejshangaa sana! Eti unalaumu wazazi / walezi kwamba hawakukuachia kujichanganya?

Kwa mwenye mtazamo chanya hiyo ataichukulia kama bahati! Naamini walifanya hivyo kwa upendo ili mabaya yasikupate,
Leo unawalaumu?

Kwa hiyo umejiandaaje? Unapoenda unadhani ndiyo utaenda kupata ufumbuzi?
Kule nako kuna maisha yasiyo na mwisho.
 
Social phobia ni tatizo kubwa sana. Na wengi wanalo ila hawajijui. Ila haiwezekani ujue kiini cha tatizo lako kinagaubaga hivi halafu eti udai linakutesa bado. Si kweli hata kidogo. Unajua wazi hofu uliyonayo ni irrational fear! Yet iendelee kukutesa? Nadhani hujaamua kilimaliza hilo tatizo.

Mbinu moja ya kumaliza social phobia ni kuface yale mazingira yanayokupa hofu. Pia kuacha kuwa too conscious of yourself. Acha kujifanyia postmortem baada ya kuzungumza kitu mahali. Yaani yale mawazo km watu wamenionaje, nimeonekana wa hovyo. Etc.
 

You dont understand mkuu, ila wanaojua nachopitia wanaelewa nini nachopambana nacho.
 

asante kwa ushauri
 

asante sana kwa kunipa matumaini
 
you dont understand mkuu nashukuru kwa akuni-blame ila wanaojua nachopitia wanaelewa nini nachopambana nacho.

Ndo maana awali nikianza kwa kukupa pole!

Labda ujaribu kufunguka zaidi ili tukushauri vizuri lakini kwa kuzingatia hayo ulosema awali ndo hivyo!

Mimi nimejaribu kuku challenge mindset yako ifike mahali ujione kumbe wewe tatizo lako ni dogo sana na ni la kupita tu!

Hata waliofanikiwa maishani ukipata bahati wengine wakafunguka kukwambia waliyopitia utashangaa nakuona kumbe lako unalopitia ni dogo sana!

Kwanza cha kwanza wewe sijasoma mahali uliandika kuwa unaumwa,

Inamaana afya yako ni njema,

Wanasemaga “kiombwacho uzima kupata majaliwa”

Halafu usizani uko peke yako unaepitia mapito watu wanamapito lakini wanaamini Mungu atawawezesha kushinda na maisha lazima yaendelee.

Sasa nikuulize huko kufa unakotaka unazani ndiyo suluhisho?
Je huko unakotaka kwenda unakujua?

Na unataka kuondoka kwa njia gani?

Maana ukiondoka vibaya ukifika kule ni mateso zaidi na ya milele bila mwisho!

Fahamu Mungu anakupenda sana na atakuvusha kwenye hayo unayopitia!

No situation is permanent.
 
Are you masturbator? Are you empathic? Are you oversensitive person?

Najua una childhood trauma lakini you need to join meditation classes.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…