oko majimaji
JF-Expert Member
- Nov 11, 2016
- 790
- 2,079
Umecheka umechukulia masihara mkuu. Ila amini nakuambia kama vipi wewe google hapo uone mimi ndio chai yangu hio.🤣🤣🤣🤣🤣😆😆😆😆😆🫡 Dah!
Ukinywa hio chai hata ofisini unajikuta mwenye furaha sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umecheka umechukulia masihara mkuu. Ila amini nakuambia kama vipi wewe google hapo uone mimi ndio chai yangu hio.🤣🤣🤣🤣🤣😆😆😆😆😆🫡 Dah!
Hapa siongeli furaha mzee! Furaha ni ninayo na imejaa tele, wala sina wasiwasi huo! Ishu ni internal conflicts nilizo nazo kuhusu social interractions za mimi na jamii inayo nizunguka au tabia yangu nikifananisha na watu wengine ninao waonaUmecheka umechukulia masihara mkuu. Ila amini nakuambia kama vipi wewe google hapo uone mimi ndio chai yangu hio.
Ukinywa hio chai hata ofisini unajikuta mwenye furaha sana
Basi mzee dawa ni utafute hela tu nadhan ni majukumu ya kifamilia yanakustress tu.Hapa siongeli furaha mzee! Furaha ni ninayo na imejaa tele, wala sina wasiwasi huo! Ishu ni internal conflicts nilizo nazo kuhusu social interractions za mimi na jamii inayo nizunguka au tabia yangu nikifananisha na watu wengine ninao waona
Mungu mwema! Sina stress za kunifikisha huko, naendelea kutafuta helaBasi mzee dawa ni utafute hela tu nadhan ni majukumu ya kifamilia yanakustress tu.
Mental health is real bro. Muone daktarMungu mwema! Sina stress za kunifikisha huko, naendelea kutafuta hela
Inawezekana! Ila sidhani kama ni ugonjwa na ingekua imenianza leo au juzi sawa ila ndivyo nilivyo ishi maisha yangu yote mpaka hapa na hamna marekebisho yoyote yanayo wezekana maana swala hilo ndilo mimiMental health is real bro. Muone daktar