Socialphobia, anxiety, depression, panic attack inaniua taratibu! Msaada

Socialphobia, anxiety, depression, panic attack inaniua taratibu! Msaada

Njia za kutatua hilo tatizo ndio utata unapokuja. Inshort sijui ni mtu gani sahihi wa kumueleza matatizo yangu akanielewa na kutunza privacy yangu maana wengi wao siwaamini. Najihisi ni mtu wa ajabu kuwahi kutokea duniani.
Kanisani ndo sehemu sahihi,utapenda mwenyewe ,yaan ni maneno ya baraka tu utakua ukiambiwa mpaka utajipenda mpaka bas,imba kwaya,yaan kuimba kinarelease pain yaan jiulize kwa nin wasouth Africa walikua wanapenda Sana kuimba katikat ya mateso,sababu ndo hiyo ,utaambiwa ww ni wathaman Sana,km una karama yoyote lazima mtumish ataiona iwe kuimba au kuombea watu yaan kanisan kila kitu
 
Kanisani ndo sehemu sahihi,utapenda mwenyewe ,yaan ni maneno ya baraka tu utakua ukiambiwa mpaka utajipenda mpaka bas,imba kwaya,yaan kuimba kinarelease pain yaan jiulize kwa nin wasouth Africa walikua wanapenda Sana kuimba katikat ya mateso,sababu ndo hiyo ,utaambiwa ww ni wathaman Sana,km una karama yoyote lazima mtumish ataiona iwe kuimba au kuombea watu yaan kanisan kila kitu
umemaliza kila kitu, sema kanisa lenye neema ya kinabii ni zuri zaidi, na linaloamini katika kukuza karama na vipawa
 
Unapokua getto kuna vitu hua unaangalia/penda...mfano movie,music or mpira...km kuna kimojawapo unapenda mfano mpira toka nenda either uwanjani or sehemu wanazoonyesha mpira ...baada ya muda utatengeneza marafiki wapya hapo ndio utapata chances zakuongea what your facing and sometimes hutasema bali ilehali yakutojichangaya itaanza ondoka yenyewe.
 
Mwenzio nimezoea ikinijia hio hali nasikiliza zangu mziki kwa sauti kubwa sana baada ya muda inatulia naendelea na yangu
 
Pole napitia the same ndo maana unaona nimereply thread ya mda mrefu kwasababu natapatapa kupata solution maana yangu ipo on edge
 
Kama ni udongo Mungu kaumba basi mimi ni udongo wa mwisho kabisa tena mfinyanzi/ tifutifu.

Niombe radhi kwa aina ya uandishi mbovu, nitakayoandika hapa maana ni matokeo ya anxiety.

Mimi ni kijana mwenye umri 29, ambaye mpaka sasa siwezi kujieleza, sina confidence, sijui kipaji changu, sina marafiki, sihudhurii misiba, sherehe na shughuli zote zenye mikusanyiko ya watu (na ukinipigia simu kunialika nije basi nitatoa sababu ambazo hazina kichwa wala miguu ili mradi tu nisije ili niwe free), sina girlfriend/ mke, most of my time napenda kushinda mwenyewe, sina kazi, sina ajira rasmi.

Nilikuwa college nasoma degree ila anxiety ikanifanya nikatishe masomo yangu ili niwe free maana sikuweza kuhimili hofu ya kujumuika na wenzangu kwenye discussions/ presentation na mengine mengi yanayohusiana na kujieleza.

Nimesali sana ila sasa nimepoteza imani ya Mungu ninayemtumikia maana anaona ninayoyapitia ila anakausha so what next? It means nipo duniani kimakosa right? So sioni faida ya kuishi mpaka sasa.

Kuhusu familia naweza kusema kuwa 95% sikuwa treated right, my parents walikuwa overprotective sana sikupewa ule uhuru wa kujichanganya na wenzangu pale nilipohitaji na sikupewa ule uhuru wa kujieleza zaidi pale nilipohitaji kufanya hivo so hii iliaffect maisha yangu ya utoto kuanzia kushiriki michezo na wenzangu mitaani, darasani katika shule zote nilizopita na hadi chuo kikuu.

Hii imeathiri vipi kitaaluma? Mfano unaweza ukawa unajua kitu na wengine hawajui sasa unatamani uwajuze/ujibu ila sababu ya anxiety siwezi kufanya hivo tena so nakaa nalo moyoni hii yote sababu siko na nguvu ya kujieleza.

Niko na low self esteem/sijikubali kwa kweli na hii siyo kwa mapenzi yangu ila nahisi kuna baadhi ya stages nilipokuwa mtoto sikuzipitia vyema na hazikuwa fair kwangu na ndizo zimeleta haya nayopitia sasa.

Not talkative at all. Ni mwepesi kuchange mood haraka pale napokwazika, kinachonishangaza zaidi ni kwamba kila napokwazika au nikikumbana na situation yoyote ambayo inanilazimu nilie ili nisahau ila silii nakaa nalo moyoni na kila nikijaribu kujilazimisha kulia machozi hayatoki, ila tumboni na moyoni nasikia maumivu sana its like kama roho inalia sana ndani kwa ndani ila uso mkavu hauoneshi zaidi ya kubaki kutetemeka tu na kutokwa jasho + mapigo ya moyo kwenda kasi.

Hivi kuna binadamu anayeishi kama mimi kweli?

Mwisho niseme tu kwamba anxiety imeathiri my lifestyle/ sio mtu wa kucheka/kufurahi at all, sio mtu wa kula japo uwezo kupika/kununua chakula ninao kwa maana hiyo nimedhohofu sana kimwili. Anxiety imeathiri uwezo wangu wa kufikiri sababu sio mtu wa kujichanganya na watu so nashindwa kuwaza na kuongea vitu vya kujenga zaidi.

Anxiety imeathiri imani yangu kiroho si mkristu wala muislamu. Anxiety imenipotezea marafiki wengi wao wanahisi naringa ila ukweli ni kwamba siko hivyo, nawa/niliwahitaji sana kwenye mambo yangu ya mafanikio ila hofu imefanya kutojumuika nao.

Nimekata tamaa ya kuishi. Ni bora nilale usingizi wa milele ili niepuke tabu hizi ambazo Mungu wenu anaona ila ananikaushia tu. Wanasema 'Mungu hakupi mzigo usiouweza' pia wanasema 'What doesnt kill you make you stronger' ila kwa hii hapana kwa kweli.

Binafsi sinywi pombe, sivuti unga wala sigara sina tabia mbaya za kimakundi/wahuni kwa hilo nashukuru ila natamani nianze kunywa pombe ila naogopa sitaacha maana ndio itakuwa tabia yangu daima incase matatizo yangu nikayasahau kwa muda mfupi baada ya kulewa.

Niombe radhi kwa mwandiko wangu mbovu dunia nzima utadhani nimezaliwa Rwanda huko kumbe ni Mtanzania na mDar es salaam wa hapa hapa!

Yaani hapa nilivyoandika hivi najisikia amani sana its like kama kuna kamzigo nimekatua hivi mwilini mwangu.

Niwashukuru wale wote mlio/mnaoshirikiana nami kwenye maisha yangu ya kawaida/ mtaani, college na mitandaoni.

Anaejua sumu nzuri inayoua kwa haraka bila kutumia nguvu anijuze kupitia PM tafadhari maana nshajaribu 3 aina tofauti imeshindikana naishia kuharisha. Watu wengine tumekuja duniani kimakosa sana Itabidi turudi tulikotoka ili tuwaachie mliokuja duniani na furaha. Wale mlionishauri nitumie kamba nimeshasema narudia tena kamba unatumia nguvu nahitaji dawa isiyotumia nguvu lets say nife nikiwa usingizini or something like that.

Asanteni.

MICHANGO YA WADAU:

========

========


=======

========

ukiwa na hela hivyo vyote vitaisha.. tafuta hela
 
Kama ni udongo Mungu kaumba basi mimi ni udongo wa mwisho kabisa tena mfinyanzi/ tifutifu.

Niombe radhi kwa aina ya uandishi mbovu, nitakayoandika hapa maana ni matokeo ya anxiety.

Mimi ni kijana mwenye umri 29, ambaye mpaka sasa siwezi kujieleza, sina confidence, sijui kipaji changu, sina marafiki, sihudhurii misiba, sherehe na shughuli zote zenye mikusanyiko ya watu (na ukinipigia simu kunialika nije basi nitatoa sababu ambazo hazina kichwa wala miguu ili mradi tu nisije ili niwe free), sina girlfriend/ mke, most of my time napenda kushinda mwenyewe, sina kazi, sina ajira rasmi.

Nilikuwa college nasoma degree ila anxiety ikanifanya nikatishe masomo yangu ili niwe free maana sikuweza kuhimili hofu ya kujumuika na wenzangu kwenye discussions/ presentation na mengine mengi yanayohusiana na kujieleza.

Nimesali sana ila sasa nimepoteza imani ya Mungu ninayemtumikia maana anaona ninayoyapitia ila anakausha so what next? It means nipo duniani kimakosa right? So sioni faida ya kuishi mpaka sasa.

Kuhusu familia naweza kusema kuwa 95% sikuwa treated right, my parents walikuwa overprotective sana sikupewa ule uhuru wa kujichanganya na wenzangu pale nilipohitaji na sikupewa ule uhuru wa kujieleza zaidi pale nilipohitaji kufanya hivo so hii iliaffect maisha yangu ya utoto kuanzia kushiriki michezo na wenzangu mitaani, darasani katika shule zote nilizopita na hadi chuo kikuu.

Hii imeathiri vipi kitaaluma? Mfano unaweza ukawa unajua kitu na wengine hawajui sasa unatamani uwajuze/ujibu ila sababu ya anxiety siwezi kufanya hivo tena so nakaa nalo moyoni hii yote sababu siko na nguvu ya kujieleza.

Niko na low self esteem/sijikubali kwa kweli na hii siyo kwa mapenzi yangu ila nahisi kuna baadhi ya stages nilipokuwa mtoto sikuzipitia vyema na hazikuwa fair kwangu na ndizo zimeleta haya nayopitia sasa.

Not talkative at all. Ni mwepesi kuchange mood haraka pale napokwazika, kinachonishangaza zaidi ni kwamba kila napokwazika au nikikumbana na situation yoyote ambayo inanilazimu nilie ili nisahau ila silii nakaa nalo moyoni na kila nikijaribu kujilazimisha kulia machozi hayatoki, ila tumboni na moyoni nasikia maumivu sana its like kama roho inalia sana ndani kwa ndani ila uso mkavu hauoneshi zaidi ya kubaki kutetemeka tu na kutokwa jasho + mapigo ya moyo kwenda kasi.

Hivi kuna binadamu anayeishi kama mimi kweli?

Mwisho niseme tu kwamba anxiety imeathiri my lifestyle/ sio mtu wa kucheka/kufurahi at all, sio mtu wa kula japo uwezo kupika/kununua chakula ninao kwa maana hiyo nimedhohofu sana kimwili. Anxiety imeathiri uwezo wangu wa kufikiri sababu sio mtu wa kujichanganya na watu so nashindwa kuwaza na kuongea vitu vya kujenga zaidi.

Anxiety imeathiri imani yangu kiroho si mkristu wala muislamu. Anxiety imenipotezea marafiki wengi wao wanahisi naringa ila ukweli ni kwamba siko hivyo, nawa/niliwahitaji sana kwenye mambo yangu ya mafanikio ila hofu imefanya kutojumuika nao.

Nimekata tamaa ya kuishi. Ni bora nilale usingizi wa milele ili niepuke tabu hizi ambazo Mungu wenu anaona ila ananikaushia tu. Wanasema 'Mungu hakupi mzigo usiouweza' pia wanasema 'What doesnt kill you make you stronger' ila kwa hii hapana kwa kweli.

Binafsi sinywi pombe, sivuti unga wala sigara sina tabia mbaya za kimakundi/wahuni kwa hilo nashukuru ila natamani nianze kunywa pombe ila naogopa sitaacha maana ndio itakuwa tabia yangu daima incase matatizo yangu nikayasahau kwa muda mfupi baada ya kulewa.

Niombe radhi kwa mwandiko wangu mbovu dunia nzima utadhani nimezaliwa Rwanda huko kumbe ni Mtanzania na mDar es salaam wa hapa hapa!

Yaani hapa nilivyoandika hivi najisikia amani sana its like kama kuna kamzigo nimekatua hivi mwilini mwangu.

Niwashukuru wale wote mlio/mnaoshirikiana nami kwenye maisha yangu ya kawaida/ mtaani, college na mitandaoni.

Anaejua sumu nzuri inayoua kwa haraka bila kutumia nguvu anijuze kupitia PM tafadhari maana nshajaribu 3 aina tofauti imeshindikana naishia kuharisha. Watu wengine tumekuja duniani kimakosa sana Itabidi turudi tulikotoka ili tuwaachie mliokuja duniani na furaha. Wale mlionishauri nitumie kamba nimeshasema narudia tena kamba unatumia nguvu nahitaji dawa isiyotumia nguvu lets say nife nikiwa usingizini or something like that.

Asanteni.

MICHANGO YA WADAU:

========

========


=======

========
Hauna lolote wewe, ushoga tu unakusumbuwa.
 
Same problem, japo nimefanya kazi za kukutana na watu ila hua inanipa wakati mgumu sana
 
Same problem, japo nimefanya kazi za kukutana na watu ila hua inanipa wakati mgumu sana
Pole sana, upo mkoa gani nataka nikuelekeze solution ya tatizo lako.? Huu ni ugonjwa kama magonjwa mengine tu na dawa yake ipo.
 
Pole sana, upo mkoa gani nataka nikuelekeze solution ya tatizo lako.? Huu ni ugonjwa kama magonjwa mengine tu na dawa yake ipo.
Dar es salaam

Swala la social interaction limenishinda kabisa, hata nijitahidi vipi, mambo mengi kama si yote lazima nipambane mwenyewe hamna namna nyingine, na sipendi kujielezea hata kama kuna tatizo dogo inafikia mahala mpaka liwe critical kabisa ndio either nitafute wa kumuelezea na wapo wachache sana na wachache hao wengi wao wanakua hamna msaada wowote wanatoa zaidi ya kuwapa taharifa na ni mpaka waulize tofauti na hapo nitalitatua mwenyewe taratibu

Swala hili linasababisha kua na watu ninao fahamiana nao tu ila si marafiki na sina marafiki kabisa, na nilio nao ni wawili tu, na sina mazoea nao hata ya kuombana misaada

Na enjoy nikiwa mwenyewe zaidi kuliko nikiwa karibu na watu, sikai vijiweni labda niwe nimeenda kwa maelekezo flani au kuna kitu nafuatilia, tofauti na hapo utanikuta nyumbani au kwenye kazi tu, huwezi nikuta bar wala grocery wala kwenye banda lolote la mpira wala kubet

Mziki uliopo nina mke ambae ni tabia zake ni opposite kabisa na mimi nilivyo yaani extrovent jambo ambalo linaibua hitilafu mara kwa mara haswa akitaka kua kama mimi au nikitaka kua kama yeye, nikikagua yaliyo tukutanisha mpaka kuelewana na kuishi pamoja na mpaka kua watoto nabaki kushangaa tu

Kwa ufupi kwa mimi naona kuna faida kidogo kuliko hasara ukiwa na hali kama hii, haswa nikiwa natamani ningekua naweza ku interract na ku cooparate na wengine kama ninao waona, ila swala hilo nime gonga mwamba kabisa na si kwa matakwa yangu binafsi

Nimesha tafuta tiba ya tatizo hili, imeshindikana kabisa, hata kufanyia kazi maoni niliyoyapata, hivyo swala hili limekua kama tatoo halitoki hata niki act
 
Dar es salaam

Swala la social interaction limenishinda kabisa, hata nijitahidi vipi, mambo mengi kama si yote lazima nipambane mwenyewe hamna namna nyingine, na sipendi kujielezea hata kama kuna tatizo dogo inafikia mahala mpaka liwe critical kabisa ndio either nitafute wa kumuelezea na wapo wachache sana na wachache hao wengi wao wanakua hamna msaada wowote wanatoa zaidi ya kuwapa taharifa na ni mpaka waulize tofauti na hapo nitalitatua mwenyewe taratibu

Swala hili linasababisha kua na watu ninao fahamiana nao tu ila si marafiki na sina marafiki kabisa, na nilio nao ni wawili tu, na sina mazoea nao hata ya kuombana misaada

Na enjoy nikiwa mwenyewe zaidi kuliko nikiwa karibu na watu, sikai vijiweni labda niwe nimeenda kwa maelekezo flani au kuna kitu nafuatilia, tofauti na hapo utanikuta nyumbani au kwenye kazi tu, huwezi nikuta bar wala grocery wala kwenye banda lolote la mpira wala kubet

Mziki uliopo nina mke ambae ni tabia zake ni opposite kabisa na mimi nilivyo yaani extrovent jambo ambalo linaibua hitilafu mara kwa mara haswa akitaka kua kama mimi au nikitaka kua kama yeye, nikikagua yaliyo tukutanisha mpaka kuelewana na kuishi pamoja na mpaka kua watoto nabaki kushangaa tu

Kwa ufupi kwa mimi naona kuna faida kidogo kuliko hasara ukiwa na hali kama hii, haswa nikiwa natamani ningekua naweza ku interract na ku cooparate na wengine kama ninao waona, ila swala hilo nime gonga mwamba kabisa na si kwa matakwa yangu binafsi

Nimesha tafuta tiba ya tatizo hili, imeshindikana kabisa, hata kufanyia kazi maoni niliyoyapata, hivyo swala hili limekua kama tatoo halitoki hata niki act
Sikia tafuta mti wa mlonge chuma majani yake yatie kwenye chai asubuhi kunywa utakuja kuniambia. Hapa Dar milonge ipo kibao. Hii inakufanya kua mchangamfu na mwenye kujiamini huondoa hofu kabisa na haina madhara kabisa baadhi ya nchi kama ufilipino wao wanatumia majani ya mlonge kama mboga kabisa. Nakuhakikishia utaweza kujielezea hata mbele ya umati.
 
Back
Top Bottom