soda hii ni hatari kwa maisha yetu

mopaozi

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2010
Posts
3,300
Reaction score
523
Soda hii nimeinunua jana kwa muuzaji wa jumla ilikuwamo katika kreti la soda ndani kuna kisoda ambacho inaonyesha kuwa mwywaji wa mwisho alikikunja na kukiweka ndani ya chupa na iliporudishwa kiwandani haikusafishwa kabla ya kujazwa soda nyingine hii ni hatari kumbe chupa hazioshwiiii maisha si salama tena cha kushangaza hadiinatoka kiwandani hakuna uhakiki wowote jamani ni hatariii!!tdfa mpoo na tbs mpooo!!!
 

Attachments

  • IMG-20120212-00176.jpg
    74.3 KB · Views: 576
  • IMG-20120212-00173.jpg
    79.4 KB · Views: 897
  • IMG-20120212-00171.jpg
    107.6 KB · Views: 665
Error zipop tu mama, hata kwenye noti ya Dollor huwa zinatokea! Sijui uoshaji wao uko vp, na uhakiki kabla ya kuruhusu chupa itumike ukoje; vyote kwa vyote error huwa zinatokea. Vp una mpango wa kuwawajibisha?
 
Error kwenye maisha ya watuuuuu!!!!!b! Siwezi poteza muda kuwawajibisha mlolongo wake ni mrefu na pia rushwa itachukua mkondo wake tz ni zaidi ya unavyoijua!!
 
Error kwenye maisha ya watuuuuu!!!!!b! Siwezi poteza muda kuwawajibisha mlolongo wake ni mrefu na pia rushwa itachukua mkondo wake tz ni zaidi ya unavyoijua!!

Wacha woga bi mkubwa unaushaidi buruta mahakamani hao dai fidia unaweza chota pesa ya ukweli hapo.
 
Soda sijainywa madhara sijapata madai mahakamani inabidi niifungue ninywe niende hospitali ya serikali dr athibitishe kuwa nimedhurika kutokana na soda hii then kesi mahakamani itasukuma kama miaka miwili hv maana ubishani utakuwa mwingi then fidia yake milioni kumi tu wakati huo nahesabu masaa ya kuishi!!!
 
TBS si lolote,ufisadi mtupu.
 
Error zipop tu mama, hata kwenye noti ya Dollor huwa zinatokea! Sijui uoshaji wao uko vp, na uhakiki kabla ya kuruhusu chupa itumike ukoje; vyote kwa vyote error huwa zinatokea. Vp una mpango wa kuwawajibisha?

This is not an error, it is called blunder...Error is when you can consume the product without any problem!

This one you can not consume...refer the definitions of error, mistake and blunder
 
Soda hii naitunza kama ukumbusho wangu baada ya kuacha kunywa soda rasmi.maisha yetu ya kibongo kuhifadhi vitu kwenye chupa then hazioshwi tunanyweshwa masumu kila siku no wonder kuna magonjwa ya ajabu ajabu tunapata cku hz!!
 
afadhali hii ni kisoda....kuna mdau mwingine alishalalamika pia
yakwake ilikuwa sprite na ndani ina condom (salama) ukitafuta
post za nyuma utaipata
 
Tatizo la ku-bypass systems za usalama ambayo ni tabia sugu ya waswahili. Nimeona kwenye viwanda kama 3 hivi vya soda,kuna sehemu mbili za kuangalia product. Chupa inapita sehemu yenye taa kali na kunatakiwa kama kuna lockage ya mwanga wa infrared itolewe kwa conveyor. Sasa ile system ikifa wanaweka mtu na stuli akodolee macho hapo masaa 12 kwa siku. Unategemea akienda toilet wasimamishe kazi? Na uzuri wetu waswahili customer complaint hatujui, ingekuwa wenzetu hiyo ni news na media wanaikomeshea. Hapa hata madaktari wagome na rais aende kula nchi hamna anaejali!
 
Reactions: 3D.
afadhali hii ni kisoda....kuna mdau mwingine alishalalamika pia
yakwake ilikuwa sprite na ndani ina condom (salama) ukitafuta
post za nyuma utaipata

Mimi siku hizi nimeacha kuagiza Sprite.. Ilikuwa ninakaribia kumaliza kuinywa,ndipo nikasense kitu cha kuteleza mdomoni,cha kuteleza mithili ya mayai mabichi,au makamasi...

Nilipoangalia kwa macho nikaona ni vitu vyeupe vinaelea... Nikamwaga hapohapo...
 

Wala huna haja ya kufanya hayo yote; we ichukue soda yako kama bado hujaifungua nenda nayo kiwandan kwao kamata meneja; mwambie akupe chako la sivyo wapanda kwny media
 
Mm ninayo soda ya fanta imejaa uchafu niliipiga picha nilipoinunua siku zinavyokwenda inazidi kuwa kama mlenda haijafunguliwa bado kama vipi tujipange twende tfda tukawasikie.
 
Pole kwa mkasa uliokupata, Wewe si wa kwanza. Bahati nzuri hiyo haikua coca maana kingeyeyuka na ungeinywa! Naungana mkono na mdau mmoja aliyeshauri uende kiwandani nayo ili kikaeleweke. Aidha Chupa hizi hutumika pia kuchukulia sample za mikojo kupeleka maabara,na hata pia ni kipimio kizuri cha ile "NGUMU KUMESA". Nunua soda omba Mungu kunywa!! Tunakufa kwa meng!
 
ndo maana sonywi soda... Wala beer maana kipindi nipo chuo kuna soda nilikuta ina spongi, na niligundua nilipokunywa almost robo...
 
Wadau mnanitisha na vinywaji hivi.
Duuh. Mbona kama ni hivi hali zetu za afya zi hatarini!
 
mimi nilikuta kifuniko kimekunjwa kama cha mleta mada kwenye chupa ya pepsi na kilikuwa na kutu sana,
 
Nimeongea na mwanasheria hapa ananambia kwa tz hatuna sheria zinazobana ndo mana watu wako wazembe hii ulaya ni ishu nene tena kiwanda chaweza fungiwa na kuamriwa kikaguliwe.anadai nikienda kwa mgr atanipa soda nyingine moja tu basi!je wataalamu wa sheria mnashaurije!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…