soda hii ni hatari kwa maisha yetu

Dah hivi na ndovu zina matatizo kama hata?
 
Only one in a million, not always. Kunyweni soda wandugu hakuna wasiwasi.
 
Wataalam mnaijua kesi ya donoghue v. Stevenson? Humalizi degree ya sheria bila kuisoma iyo kesi
 
Sema yote ukweli ni kuwa SODA ZA COCA COLA NI CHAFU.

Umetumwa huna lolote, na ndio maana una ID mbili za kufanyia kazi yako.

Mimi navyofahamu hii michezo ya kijinga haijaanza leo. Umekurupuka baada ya kupewa dili na wahindi kuleta uchafuzi kwenye biashara za watu. Mtu mwenye ushahidi si aupeleke TFDA. Nimewauliza jana mkibakwa mtakuja kujisemeshasemesha JF au mtaelekea kwenye dola?
 
Ni bifu za viwanda izo kama sehemu ya kushindana!
Ukipelekwa kuona namna izo chupa zinavyooshwa ndo utashangaa icho kizibo kilipitaje.
Personally niliwai enda!
 

Nilijua najibishana na mtu mwenye akili timamu,
kumbe ni ki ch aa.
 
Error kwenye maisha ya watuuuuu!!!!!b! Siwezi poteza muda kuwawajibisha mlolongo wake ni mrefu na pia rushwa itachukua mkondo wake tz ni zaidi ya unavyoijua!!

kwani madaktari huwakukosea, kupasua kichwa badala ya mguu and vice verse?
 

nimekubali OPTIN 2.
 
Nduguzangu katika kuboost ubongo wangu
cha maana ni kupunguza matumizi ya vinyaji hivi vilivyo jazwa "CHEMICAL$" na kuendekeza kunywa NATURAL JUICE (juice frm fresh fruits)
kwa sasa huwa nikiwa na mission za mjini huwa ni kawaida yangu kupitia "MSIKITI WA ANSAS-SUNNAR " kupata "PURE SUGAR CANE JUICE". Kwa wakazi wa moshi nadhani wanapafahamu coz ni karibu na "SOKO LA MBUYUNI".
Nilianza kupendelea kunywa fresh juice baada ya project ya production nikiwa 4m4 katika kiwanda cha BBL moshi deport, nilihic nitaona mabaki ya matunda kama maganda mengi ya mapassion lakini tuliona madumu yenye unga wenye chemicals kwa ajili ya kutengenezea vinyaji.
 
watu wa pepsi wanataka niwauzie hii sod chafu nimeakatalia.nyambafff
 
heri miye yangu maji>maziwa frsh>mtnd> juic acl vngne nshapga teke hata unbembeleze vp labda uwe umenzd umr nta2mia kwa heshma yako... Am out

Hayo maziwa unakamu mwenyewe?..sababu kama anakamua houseboy hayo maziwa huenda ni machafu kuliko hzo soda! Mimi naamini nyama ya kitimoto naowafuga tu, hahahaaa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…