Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa maziwa ya packet nayo ni corona mashamba si yapo hapa hapa.Dar es salaam zoo.Dar fresh .Tanga fresh,Asas na kilimanjaro.Kuna tatizo la mali ghafi kutoka nje kwa sababu ya Corona!
Maziwa yapo kibao tu.Sasa maziwa ya packet nayo ni corona mashamba si yapo hapa hapa.Dar es salaam zoo.Dar fresh .Tanga fresh,Asas na kilimanjaro.
Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
Mkuu naona kama hatujaelewana kidogo tu.Maziwa yapo kibao tu.
Azam ndio yalihadimika lakini yamesharufi sokoni.
Labda wewe uko mkoa gani?
una picha zake mkuu?Coca cola wametoa vi emolo vya 300mls vya plastic kwa jero. Hii ni baada ya kugundua ni jinsi gani tulikuwa tunapelekwa chumvini bila wenyewe kujijua kupitia chupa za kigae.
Pande gani hizo mkuu?Hizo bidhaa hazipatikani ama kama zipo ni kwa uchache sana. Kunani?
Sambamba na hilo, vitu vimepanda saaaana bei , wachumi mnasemaje?
Nahis soda ikikaa kwenye plastic kuna jinsi taste inavyobadilika. Mimi uwa napata taste tofaut kati ya soda ya chupa ya plastic na kiooCoca cola wametoa vi emolo vya 300mls vya plastic kwa jero. Hii ni baada ya kugundua ni jinsi gani tulikuwa tunapelekwa chumvini bila wenyewe kujijua kupitia chupa za kigae.