Khanji kapoor
JF-Expert Member
- Oct 19, 2024
- 1,198
- 2,695
Prank drinksPeps imegeuka soda ya hovyo ladha mbovu mdomoni chumvi km sio chumvi,kidonge km sio kidonge
peps wamepatwa nn au wanatumia maji ya bahari kujaza kwenye chupa
Alikuwa tayari katafuna vitunguu saumuMbona pepsi zipo poa tu,au labda wewe ulikunywa pepsi ipi
Soda zote pespi na Coca-Cola...tena Coca-Cola ndiyo imekuwa uchafu kabisa inanuka madawa ya kusafishia chupa za kiwandani ....Coca-Cola ilikuwa sada nzuri sana ila kwa sasa ni takataka bora hata pespiPeps imegeuka soda ya hovyo ladha mbovu mdomoni chumvi km sio chumvi,kidonge km sio kidonge
peps wamepatwa nn au wanatumia maji ya bahari kujaza kwenye chupa
Kuna mambo mawili kuna wewe kupoteza ladha na kuna bidhaa kupoteza ladha mfano soda za Coca-Cola...fanta nk siyo kama miaka ya 1990 to 1995 kuja chini zilikuwa na ladha safi sanaVitu vingi sana vimepoteza ladha ya mwanzoni
Ladha ya pepsi ina chumvii kweli nimeonMmh au umekunywa ile wanaiita mkubwa wao. Maana ndio Ina ladhambaya
Itakuwa mkuuAlikuwa tayari katafuna vitunguu saumu
Wale wahindi sijui wameinenea nini ile soda isee ina addiction yaani ukiingia tu kutoka ngumuPeps imegeuka soda ya hovyo ladha mbovu mdomoni chumvi km sio chumvi,kidonge km sio kidonge
peps wamepatwa nn au wanatumia maji ya bahari kujaza kwenye chupa
Hizo ni fekiPeps imegeuka soda ya hovyo ladha mbovu mdomoni chumvi km sio chumvi,kidonge km sio kidonge
peps wamepatwa nn au wanatumia maji ya bahari kujaza kwenye chupa