Sodoma ipo hapa Dar, usiku huu nimeshuhudia mengi

Picha wapi angalau ya simu ya kitochi ya sekunde 5? Acha umbeya!
 
Kama kilichokupeleka Dar kimeisha rudi mkoani kwenu Katavi mambo ya pwani waachie wenyewe
 
comrade kipepe toa msaelekezo sahihi. Ni Temeke sehemu gani? Kiingilio kwenye hiyo bar Ni sh ngapi? Chura zipo za kutosha?
 
Sasa hiyo Sodoma mbona haipo, naona umechanganyikiwa mpaka umeisahau kuielezea.
 
Amini nakwambia, kama Dodoma wangekuwa wanafanya hayo uliyoyaona, basi wala isingeteketezwa, bali ingebarikiwa zaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…