Sodoma na Gomora; Ujumbe kwa Kizazi hiki. Neema na Hukumu

Sodoma na Gomora; Ujumbe kwa Kizazi hiki. Neema na Hukumu

36“Hakuna ajuaye siku wala saa, hata
malaika mbinguni hawajui wala Mwana, ila Baba
peke yake. 37Kama ilivyokuwa wakati wa Noa,
ndivyo itakavyokuwa kuja kwake Mwana wa
Adamu. 38Kwa maana siku zile kabla ya gharika,
watu walikuwa wakila na kunywa, wakioa na
kuolewa, mpaka siku ile Noa alipoingia kwenye
safina, 39nao hawakujua lo lote mpaka gharika
ilipokuja ikawakumba wote. Hivyo ndivyo
itakavyokuwa atakapokuja Mwana wa Adamu.
40“Watu wawili watakuwa shambani, mmoja
atatwaliwa, mwingine ataachwa. 41Wanawake
wawili watakuwa wanasaga pamoja, mmoja
atatwaliwa, mwingine ataachwa.
42“Kwa hiyo kesheni, kwa maana hamjui ni
siku gani atakapokuja Bwana wenu. 43“Lakini
fahamuni hili kwamba: Kama mwenye nyumba
angelijua ni wakati gani wa usiku ambao mwivi
anakuja, angelikesha na asingeliiacha nyumba
yake kuvunjwa
 
Unaamini kwenye hii dunia ya madhambi wapo watakatifu?. Wanakuwaje watakatifu. Unaelewa maana ya utakatifu?
Hujasona maandiko.. Bibilia katika ufunuo inazungunzia watakatifu waliopo duniani..

Na kwa kukuongezea tu ni kwamba watakatifu walioishi maisha matakatifu hapa duniani ndio huingia mbinguni na utakatifu wao..
 
SIKU ZA MWISHO ZITAKUWA NGUMU SANA
Watu wamejihalalishia wizi kila mahala na huko makazini ndio usiseme; Mtu anamshara wa laki kadhaa ila miaka michache tu anamiliki nyumba kadhaa nk eti kazi ina marupurupu!!!
 
Hujasona maandiko.. Bibilia katika ufunuo inazungunzia watakatifu waliopo duniani..

Na kwa kukuongezea tu ni kwamba watakatifu walioishi maisha matakatifu hapa duniani ndio huingia mbinguni na utakatifu wao..
Kwa mfano?
 
SIKU ZA MWISHO ZITAKUWA NGUMU SANA kwani watu wamejihalalishia wizi kila pahala na huko makazini ndio usiseme; Mtu anamshara wa laki kadhaa ila anamiliki nyumba kadhaa nk eti kazi ina marupurupu!!!
Tutachomwa kwa sulphur nasikia
 
Back
Top Bottom