Umaskini Ni LAANA. Maana wengi hufanya kazi Kwa mikono milegevuUmasikini ni kitu kibaya sana
Vipi mzee uliotea ajira msimu huu nini? maana siku hizi una comment kibosi.Umasikini ni kitu kibaya sana
Hata kimbaumbau mwenye vurugu hutoboi.Hicho kitanda hakiwezi kuhimili uchakataji wa chubby moja lenye kilo zaidi ya 100
Mleta uzi aimarishe kitandaHata kimbaumbau mwenye vurugu hutoboi.
Godoro la kudownloadNa godoro nalo la kukunja?
Bei
Sofa bed inafaa sana pale hali ya uchumi inapokuwa na changamoto na unalazimika kupanga chumba kimoja. Unaamka asubuhi unaangalia vitu vyote unavyomiliki. Kuna kitanda, jiko, ndoo ya kuogea na ndoo ya maji ya kupikia.
Kuna wale wanaosoma mchana anahitaji kuwa na meza ya kusomea na wengine hupata wageni kwa discussion. Wengine wanaishi chumba kimoja na wanafanya biashara, wateja wanafuata bidhaa nyumbani.
Mchana unatoa godoro unakunja kitanda na kuweka mito ya kukaa. Watu wanaotumia sofa bed wanaongezeka.
Vipi kinafaa kupelekeana moto kibabe?Maana yake hapo ukiamua unaweka mto tu unalalia cushions za kiti, ukipata mgeni ndiyo unakifungua chote.
Atakuwa amekosa huyu! Maana tangu ajira zilipotangazwa amekuwa mdogo kama pirton. Jeuri yote kwisha! 😁😁Vipi mzee uliotea ajira msimu huu nini? maana siku hizi una comment kibosi.