BANGO JEUPE
JF-Expert Member
- Nov 21, 2015
- 3,079
- 2,152
ngoja waje wenye kuyapenda ila next time pendelea kununua vitu ambavyo ni timeless !
sijazungumza na wewe pita hivisidhani kama amekuomba ushauri ndugu!!!! anauza, kama huitaji si lazima uzungumze!
We jamaa unaweza kuuza hadi kitanda, TV, jiko, Nyumba ikabaki nyeupe kisa watoto..Sababu ya kuyauza nina watoto wadogo nyumbani watundu nami nashinda kazini so nimeona usalama wa kochi ni mdogo
Chief unazitaka hizo sofa?We jamaa unaweza kuuza hadi kitanda, TV, jiko, Nyumba ikabaki nyeupe kisa watoto..
Swali la kizushi: ungekuwa mgumba usingeuza hizo sofa.!?
Ningechukua ila naonea huruma watoto wako kukaa chini.Chief unazitaka hizo sofa?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ningechukua ila naonea huruma watoto wako kukaa chini.
funga mlango wa sebuleSababu ya kuyauza nina watoto wadogo nyumbani watundu nami nashinda kazini so nimeona usalama wa kochi ni mdogo
Sitaki kufunga Mlango nataka kuuzafunga mlango wa sebule