INAUZWA Sofa zinauzwa

INAUZWA Sofa zinauzwa

BANGO JEUPE

JF-Expert Member
Joined
Nov 21, 2015
Posts
3,079
Reaction score
2,152
La watu wawili linauzwa 160,000
Hilo single linauzwa 80,000

Toka kigamboni
Yako na hali nzuri kama unavyoona
__________________________________
Bango
692e46de5f0e3d5409ab4c352b881908.jpg
9f4d99e4feb558a3712ce2e19713cc83.jpg
50b68c39eb27a65449bb5ba0f4a1863a.jpg
58c308d3a7a57f0f1d102e8dc5fdd762.jpg
 
Sababu ya kuyauza nina watoto wadogo nyumbani watundu nami nashinda kazini so nimeona usalama wa kochi ni mdogo
 
We jamaa unaweza kuuza hadi kitanda, TV, jiko, Nyumba ikabaki nyeupe kisa watoto..
Swali la kizushi: ungekuwa mgumba usingeuza hizo sofa.!?
Chief unazitaka hizo sofa?
 
Utaniletea nilipo au mpaka niyafuate huko kigamboni?
 
Back
Top Bottom