Hizo sofa kuzifanyia tu ukarabati inazid hyo lakiSofa zinahitaji kufanyiwa ukarabati, kubadilishwa kitambaa. Yako mawili (La mtu mmoja na watu wawili )
Zipo, Dar es salaam, Mbezibeach, Tangibovu.
Piga 0742141467
Bei Tshs 100,000
Maelewano yapo
View attachment 1751658
Mpumbavu gani atanunua uchafu huu? Hivi kweli wewe zinakutosha? Mbona watu mnapoteza muda kutafuta kiki kipumbavu hivi? Mod ondoa takataka hii haraka tusitapike.Sofa zinahitaji kufanyiwa ukarabati, kubadilishwa kitambaa. Yako mawili (La mtu mmoja na watu wawili )
Zipo, Dar es salaam, Mbezibeach, Tangibovu.
Piga 0742141467
Bei Tshs 100,000
Maelewano yapo
View attachment 1751658