INAUZWA Sofa zinauzwa

INAUZWA Sofa zinauzwa

Playman

Member
Joined
Jan 1, 2021
Posts
67
Reaction score
18
Sofa zinahitaji kufanyiwa ukarabati, kubadilishwa kitambaa. Yako mawili (La mtu mmoja na watu wawili )

Zipo, Dar es salaam, Mbezibeach, Tangibovu.

Piga 0742141467

Bei Tshs 100,000

Maelewano yapo

IMG_20210414_124238.jpg
 
Mmmh yani umepita kwa jirani yako umekuta katupa nje ukamua kupiga picha uchafu ili upige dili dah ajira ngumu san
 
Mkuu, ni nafikiri unatafuta kampuni ya kuzi -dispose !! laah
 
Duuh,aisee nimecheka komenti hatar[emoji23] Ila mkuu japo ungeziweka sawa kidogo maana apo kama zimetelekezwa alafu wew ukapita ukapiga picha ili utufurahishe umu mtandaoni.
 
Sofa zinahitaji kufanyiwa ukarabati, kubadilishwa kitambaa. Yako mawili (La mtu mmoja na watu wawili )

Zipo, Dar es salaam, Mbezibeach, Tangibovu.

Piga 0742141467

Bei Tshs 100,000

Maelewano yapo

View attachment 1751658
Mpumbavu gani atanunua uchafu huu? Hivi kweli wewe zinakutosha? Mbona watu mnapoteza muda kutafuta kiki kipumbavu hivi? Mod ondoa takataka hii haraka tusitapike.
 
Back
Top Bottom