Kutoka Tanzania Daima
...... Asha Bakari.Wengine ni Shamsa Mwangunga, Hawa Ghasia, Zainabu Mwamwindi, Furahia Abdallah, Fatuma Tawafiq, Lucy Mayenga, Lediana Mng'ong'o, Subira Mohamed na Zainabu Shomari.
.
Wala sishangai, mkuu hawezi kupinga uamuzi wa list hii, she just better agree to stay aside kuepusha shari. Mkuu hana ubavu wa kutengua uamuzi wao. They know his weakness.......!
Wote ni mazao ya ufisadi, ikiwa husna naye ni zao la mafisadi basi apambane nao, but ikiwa si zao la mafisadi, atafute kazi nyingine ya kufanya. I bet she is not ndiyo maana hao wote wameridhia kuondolewa kwake.
Damn!!!!!!!!!!!!!!