Sofiane Boufal awaomba msamaha wa Africa

Sofiane Boufal awaomba msamaha wa Africa

IBRA wa PILI

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2017
Posts
1,503
Reaction score
2,426
Hii ni baada ya siku chache pale nchini Qatar katika mechi ya mtoano hatua ya 16 Bora morroco walipo fanikiwa kuwaondoa spain.

Sofiane Alisema ushindi huu ni kwa Waaarabu wote na Morroco.

IMG_20221208_172526.jpg
 
Waende wakachezee kichapo kwa ureno tu hata sisi waafrika tunawaona wao waarabu tu.
 
Kwa kuwa ameomba msamaha mimi mbigirikavu naupokea kwa moyo mmoja.
Neno samahani ni neno kubwa sana. Sio kila mtu anaweza kutamka.
Uhakika wote tuliopitiwa na mipaka ndani ya bara la Afrika ni waafrika.

Rangi ni mapambo tu ya dunia. Wasingekubali kucheza na waafrika kama wao ni waarabu.

Waafrika tungejivunia timu ya ufaransa kwa kuwa ni weusi kama waafrika. Lakini hawatuhusu kama wanavyotuhusu wamorocco.
Wafaransa sio waafrika.

Kwa hiyo rangi is nothing.
Ndiyo ni waarabu lakini sio waasia. Ni waafrika.
IMG-20200502-WA0000.jpeg
 
Kauli ni mbaya sana, inaweza kutoka kwenye michezo ikaenda kuwa ya kisiasa na hapo ndo balaa sasa
 
Back
Top Bottom