IBRA wa PILI
JF-Expert Member
- Oct 12, 2017
- 1,503
- 2,426
Aliomba msamaha wapi na lini, tuonyesheHii ni baada ya siku chache pale nchini Qatar katika mechi ya mtoano hatua ya 16 Bora morroco walipo fanikiwa kuwaondoa spain.
Sofiane Alisema ushindi huu ni kwa waaarabu wote na morroco.
Kumbe anajua kiswahili😂😂😂Hii ni baada ya siku chache pale nchini Qatar katika mechi ya mtoano hatua ya 16 Bora morroco walipo fanikiwa kuwaondoa spain.
Sofiane Alisema ushindi huu ni kwa Waaarabu wote na Morroco.
View attachment 2439761
Tutawatundika wiki bilaOfcoz hao , Algeria,misri,Tunisia,Libya sio waafrika ni waraabu waliokwenye bars la Africa na ureno natamani hawaloweshe mvua nyingi za magoli.....ILO jamaa limejishtukia tu
Ndio alishawapa ukweli...zifuatazo ni siasa tuuHii ni baada ya siku chache pale nchini Qatar katika mechi ya mtoano hatua ya 16 Bora morroco walipo fanikiwa kuwaondoa spain.
Sofiane Alisema ushindi huu ni kwa Waaarabu wote na Morroco.
View attachment 2439761
Jamaa hapo ukimwambia ajilipue kwenye mkusanyiko wa watu ni chap tuuHiyo midevu anaonekana tu kichwani amejaza nini[emoji16]
Tutawatundika = inamaana nyie/wewe ni wareno?Tutawatundika wiki bila