Unakua kama hujui kuna Google translatorKumbe anajua kiswahili[emoji23][emoji23][emoji23]
Ujinga, umbumbumbu, unafiki, na upopoma tu ndiyo unao wasumbua. Wamepata hiyo nafasi kupitia Bara la Afrika, halafu leo wakawapongeze Waarabu wenzao!!Hii ni baada ya siku chache pale nchini Qatar katika mechi ya mtoano hatua ya 16 Bora morroco walipo fanikiwa kuwaondoa spain.
Sofiane Alisema ushindi huu ni kwa Waaarabu wote na Morroco.
View attachment 2439761
Wallah tena! Acha kuleta dharau kijana! Hizo ndevu kwetu sisi ni sunna.Hiyo midevu anaonekana tu kichwani amejaza nini[emoji16]